secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,612
Kwa kweli inaumiza sanaMoja ya kero kubwa iliyopo kwenye utawala huu wa mtukufu magufuli toka chato na chamwino ni kutumia BOT mabenk kuwapora watu pesa zao kwa visingizio vya utakatishaji pesa na endapo mwenye pesa anathubutu kupiga kelele anapewa kesi ya uhujumu uchumi ni uonevu unyanyasaji ulioje...