Kuna taarifa za awali zinaonyesha kuwa ‘Kachero Mbobezi’ ndugu Bernard Membe ameamua kufanya ‘maamuzi magumu’ na hivyo asubuhi ya leo mida ya saa 4 anatarajiwa ‘kulipuka’ mbele ya Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar.
Je, tutarajie yepi toka kwa hili ‘joka la mdimu’?
A) Atafanya kama Dk Slaa uchaguzi wa 2015 na kumkataa mgombea wa CHADEMA? Tukio hili hafanyi kwa kushirikisha chama chake cha sasa (ACT-Wazalendo)
B) Atatangaza kumuunga mkono mgombea wa CHADEMA kama ambavyo kiongozi wa chama na mwenyekiti wa ACT wamefanya?
Nitarejea hapa baada ya Membe kuongea
Je, tutarajie yepi toka kwa hili ‘joka la mdimu’?
A) Atafanya kama Dk Slaa uchaguzi wa 2015 na kumkataa mgombea wa CHADEMA? Tukio hili hafanyi kwa kushirikisha chama chake cha sasa (ACT-Wazalendo)
B) Atatangaza kumuunga mkono mgombea wa CHADEMA kama ambavyo kiongozi wa chama na mwenyekiti wa ACT wamefanya?
Nitarejea hapa baada ya Membe kuongea