Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 78
Hata mimi Binafsi sijafurahishwi na Jk hata kidogo, amekuwa anaficha sana uhalisi wake na pia hata utendaji wake tofauti sana na BEN, Ben alikuwa makini japo madudu yake. Jk is freaking with his ambitions. \sijui akipewa miaka mitano mingine itakuaje??Pamoja na matatizo yote ya Mkapa, kuna mtu anaweza kutupa walau mambo 10 tu ambayo rais wetu mpendwa JK amelifanyia taifa hili tunapoelekea kufikisha mwaka wa tano?
Binafsi nasema JK is a failure compared to Mkapa. Hata kina Mpendazoe ambao Phillemon Mikael anawakandia wanatumiwa na JK kumwandama Mkapa ili kuficha mapungufu ya JK.
Nipende au nichukie lakini binafsi sifurahishwi na utendaji wa serikali ya JK ambayo ilikuwa inatafuta namna zote za kumpunguza Magufuli lakini Mungu wa Israel na Mungu wa Yakobo bado anamsimamia mtumishi wake Pombe Magufuli.