Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Source: Kibonzo gazetini leo (modified)
Mwalimu: Wanafunzi, rangi za BENDERA ya Taifa la Tanzania ziko ngapi?
Mwanafunzi: Nne!
Mwalimu: Zitaje.
Mwanafunzi: Kijani, Bluu, Njano na Nyeusi
Mwalimu: Rangi hizo zina maana gani?
Mwanafunzi1: Kijani ni ccm.. hapana, ni Kilimo
Mwalimu: Mwingine?
Mwanafunzi 2: Njano ni TLP.... hapana, ni Mali asili
Mwalimu: Enhee, mwingine?
mwanafunzi: Bluu Chadema, hapana ni maji ya maziwa, mito na bahari
Mwalimu: Iliyobakia?
Mwanafunzi: Nyeusi ni TANESCO, apana, ni GIZA.
Mwalimu: Wanafunzi, rangi za BENDERA ya Taifa la Tanzania ziko ngapi?
Mwanafunzi: Nne!
Mwalimu: Zitaje.
Mwanafunzi: Kijani, Bluu, Njano na Nyeusi
Mwalimu: Rangi hizo zina maana gani?
Mwanafunzi1: Kijani ni ccm.. hapana, ni Kilimo
Mwalimu: Mwingine?
Mwanafunzi 2: Njano ni TLP.... hapana, ni Mali asili
Mwalimu: Enhee, mwingine?
mwanafunzi: Bluu Chadema, hapana ni maji ya maziwa, mito na bahari
Mwalimu: Iliyobakia?
Mwanafunzi: Nyeusi ni TANESCO, apana, ni GIZA.