Mi hata sijui, nimeuliza tu.Basi tuache Kenya, taja nchi jirani ambao wamewekwa jengo la burj khalifa?
Mi hata sijui, nimeuliza tu.Basi tuache Kenya, taja nchi jirani ambao wamewekwa jengo la burj khalifa?
Nina kazi kubwa ya kumuombea mama avuke majaribu haya kuliko kujadili huo upuuzi wa bendera ya nani ilikuwa wapi na lini.Basi tuache Kenya, taja nchi jirani ambao wamewekwa jengo la burj khalifa?
Sikubisha, niliuliza tu!Kama hujui hukupaswa kubisha kuwa huyo jirani ni kenya
2023 hii kila kitu kipo kiganjani
Yupo hai anakula mema kukuzidi wewe bibi! Kwanini umemdanganya mpemba mwenzio?😂😂😂😂😂Yuko wapi sasa Bashiru?
Wa kwanza ni SSH huyu Mama hotuba zake zimekaa kimipasho kama anaimba taarabu halafu linaongeaga pumbaHawa ndio watanzania halisi kujadili porojo zisizo na mbele wala nyuma
Sawa humkosoi Ile umeeleza vyema mapungufu yake.Ngoja nikueleweshe
Raisi amesema baada ya malumbano ya bandari huku kwetu, wenzetu(Kenya) walikimbilia hukohuko na bendera yao ikawekwa kwenye jengo kama yetu ilivyowekwa, hivyo wametumia fursa.
Hii haikuwa kweli, bendera ya Kenya jengo la Burj khalifa haujawekwa hivi karibuni, iliwekwa 2019 siku yao ya Uhuru.
Mimi simkosoi raisi kwa hili maana najua huenda hivi vitu havijui, nakosoa watu waliompa hii taarifa.
EeenHeee Heeeee!Unajuaje kama amedanganywa na sio yeye kuamua kutudanganya?
Hilo halishangazi (politicians ni waongo by nature) Kinachoshangaza ni kwa Rais kuona hii ni Big Deal !??? Yaani kwamba kule ukiweka bendera yako ndio SI Unit ya kufanikiwa ?!!!!
Nakuacha na Qoute ya Obama kuhusu Politicians and Lies
“Politicians have always lied but it used to be if you caught them lying, they’d be like, ‘oh man.’ Now they just keep on lying.”
Na huenda ni hao hao waliokuwa wakimdanganya Magufuli,au hii imekuwa ndio tabia yetu "rasmi" ya kujipendekeza na kusema uongo na ulaghai ili tu mkono uende kinywani?!Huenda ipo hivyo, swali litabaki je wanamdanganya kwenye haya tu au kuna makubwa zaidi? Kama hili lililo wazi wamedanganya vipi kwenye huo mkataba?
Nimejiuliza mara mbili mbili, kwamba hata kama imewekwa leo. Je ina faida ipi kwetu ama kwao kama Taifa.?Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Royal tour ni deal?Huyu mama uwezo wake mdogo, hajui mambo mengi. Kumpa urais ni kumuonea tu. Hata akipiga deal inakuwa uchi
Machawa wa BT
Hivi hawa jwtz wao hawahusiki na kulinda rasilimali zetu?Hivi kumtoa Rais wa kiafrika madarakani hadi kifanyike nini
Mkataba lazima uwe rafiki, vigezo, vipengele na masharti. Pia muhimu kuhusu vizazi, watoto, wajukuu ŵetu.Leo na mimi acha niwaseme washauri wa raisi, imekuwa ipi wanamueleza raisi kuwa bendera imewekwa hivi karibuni wakati bendera ya Kenya iliwekwa 2019??
Raisi amesema sisi tunalumbana huku jirani wenzetu nao wameenda huko na bendera ikawekwa kama sisi tulivyowekwa.
Ni nani wamemueleza bendera imewekwa hivi karibuni? Mmechukua spinning na utani wa mtandaoni wakiwatania wakenya mkahisi ni ya hivi karibuni?
Naamini hili suala kuna waliomshauri mama aligusie bila kujua hili ni la miaka imepita
View attachment 2687987
Bora angejiuzulu tu tusingekuwa na hizi aibuWatu wajinga wote hawakuwahi kuendana na Magu!
Huyu bibi kuna kipindi walisema alitaka kujiuzuru ila kwa ujinga huu Magu hangeweza kuendana nae