Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,344
Sasa wewe hujioni bado mtoto? Unataka bei au unataka aina ya suti nnayovaa? Okay ninavaa suti za kuanzia 700$Na wewe unavaa suti..umeambiwa utaje bei unaweweseka
Sasa wewe hujioni bado mtoto? Unataka bei au unataka aina ya suti nnayovaa? Okay ninavaa suti za kuanzia 700$Na wewe unavaa suti..umeambiwa utaje bei unaweweseka
Anashonea Manhattan nini!?Bei za suti kwa Sheria Ngowi, anaanzia $1700 USD, ila kwa kibongo bongo unaruhusiwa kumshusha kidogo hadi 3,000,000 Tsh. Hapo ni kwa 1pc, hiyo ni bei ya mwezi wa 7 mwaka huu tuliweka order ya 2pc, kwaajili ya harusi amabayo tayari imeshafanyika mwishoni mwa mwezi August.
Kwahiyo mbwembwe zote kumbe unavaa suti ya 700$ sasa si bora ungenyamaza kuliko kujishushia hadhi mana watu wazima hatuna utoto kama weweSasa wewe hujioni bado mtoto? Unataka bei au unataka aina ya suti nnayovaa? Okay ninavaa suti za kuanzia 700$
Ya mtumba ni nzuri kwasabababu kwenye mtumba ndio unapata originals.
Harafu kama ni mzuri wa kuchagua size zako unaweza toka bomba ile mbaya kuliko hizo za malaki matano na kuendelea!!
Boss kumbe level yako iko juu $700 ni kujishusha hadhi. Hongera.Kwahiyo mbwembwe zote kumbe unavaa suti ya 700$ sasa si bora ungenyamaza kuliko kujishushia hadhi mana watu wazima hatuna utoto kama wewe
Hilo swali ungemuuliza huyo aliyekuwa analeta mbwembwe kiasi cha kukashifu wenzie kana kwamba anavaa suti za Mil 5 na kuendelea kumbe vice versa kumbe naye ni walewale sababu hana tofauti na anayenunua suti kila mwezi kwa laki 2 hadi 3 huku yeye mpaka asubiri miaka 2-7 kama anavyofanya kwenye viatu ambavyo anakaa navyo hadi miaka 7Boss kumbe level yako iko juu $700 ni kujishusha hadhi. Hongera.
Iq ndogo sanaMcheki mtani bespoke Instagram
Napenda saana suit za Gurdiola sijui huwa ni campun gani inamvalishaUmewahi jiuliza italian suits...turkey... UK na kwingine duniani kwa watengenezaji wa kueleweka kwanini suit zao hawakupimi we unachagua size tu na suti inatulia mwilini? Umeshawahi ona mtu suit ya dukani toka europe imemkaa vibaya? Sasa hao akina Sheria Ngowi japo wanakupima bado inakua hovyo kabisa na hizo za kununua kabisa bila kupima ndo kabisaaa!!
Kwa ufupi kwa hela hiyo heri uvae suit za maana toka ulaya!!
bei Ya Gari kabisa HiiBei za suti kwa Sheria Ngowi, anaanzia $1700 USD, ila kwa kibongo bongo unaruhusiwa kumshusha kidogo hadi 3,000,000 Tsh. Hapo ni kwa 1pc, hiyo ni bei ya mwezi wa 7 mwaka huu tuliweka order ya 2pc, kwaajili ya harusi amabayo tayari imeshafanyika mwishoni mwa mwezi August.
Kariakoo duka gani mkuuNjoo kariakoo utapata Suti nzuri kuanzia kwa 90,000 na kuendelea kama unachukua moja kama ni nyingi kuanzia 3 ni kuanzia 70,000 na kuendelea ni kali ukivaa hata kama ulikuwa na gundu la mavi utakuwa clean yaani better like never before
Umejuaje kama hamuwez?
Umeambiwa bein hayo ya kumuweza yanakuhusu nn?
Tofauti ipo mkuu. Kununua kitu cha kiwango cha chini mara kwa mara si sawa na kununua kitu bora kwa muda mrefu. Unless unataka tu kujiridhisha nina suti 50. Btw idadi ya suti inategemea na shughuli zako. Mimi navaa suti kwenye mialiko tu kama harusi nk hivyo kabatini kwangu nina suti 5 tu.Hilo swali ungemuuliza huyo aliyekuwa analeta mbwembwe kiasi cha kukashifu wenzie kana kwamba anavaa suti za Mil 5 na kuendelea kumbe vice versa kumbe naye ni walewale sababu hana tofauti na anayenunua suti kila mwezi kwa laki 2 hadi 3 huku yeye mpaka asubiri miaka 2-7 kama anavyofanya kwenye viatu ambavyo anakaa navyo hadi miaka 7
Njoo mtaa wa Mchikichi/Nyamwezi karibu na Msikiti mana duka sijaweka bangoKariakoo duka gani mkuu
Aiseee,watu mnafeli kwa swali dogo tu,jamaa ameuliza bei gani???nami nasubiri jibu nijue bei ya hizo suti,ila nachosoma hapa kwa watu wa kaliba yako ni kujibu swali usiloulizwa
Basi wewe si Mvaaji wa Suti ila unavaa kwa shughuli maalum..ingekuwa kila mtu anajivunia kitu kukaa muda mrefu kwa kukiweka kwenye kabati lake leo hii wewe usingejua kitu kinaitwa "Mitumba" kwa hiyo anaenunua kila mwezi si mtu wa mchezo kuliko anayeweka nunua mwaka hadi mwakaTofauti ipo mkuu. Kununua kitu cha kiwango cha chini mara kwa mara si sawa na kununua kitu bora kwa muda mrefu. Unless unataka tu kujiridhisha nina suti 50. Btw idadi ya suti inategemea na shughuli zako. Mimi navaa suti kwenye mialiko tu kama harusi nk hivyo kabatini kwangu nina suti 5 tu.
Pesa yote hiyoo...Nanunua suti tuu au gari mkuu ?ddah wenye nazo wache tuh wavaebei ina anzia 4.5k mpaka 7m