Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Hivi umeshatajiwa gharama uloiulizia?Naomba kufahamu viwango vya bei ya suti kwa huyu jamaa Sheria Ngowi, ni bei gani?
Hivi umeshatajiwa gharama uloiulizia?Naomba kufahamu viwango vya bei ya suti kwa huyu jamaa Sheria Ngowi, ni bei gani?
hahahahaSuti ya mtumba shilingi elfu kumi tu, koti na suruali, tena unaweza kupewa na tai kabisa.
Na wewe usiyedanganyika huwa unaenda Italy kununua? Ndomana nikasema zipo za kuanzia 70 na kuendelea kwa jumla mana yake kuna za bei kubwa zaidi ya hapo sasa wewe umeshikilia hapo kwenye 70? Wewe hizo suti unazozisifia huwa unanunua kwa shilingi ngapi?Hizo suti ni za china huko mnadanganywa za italy... suti ya italy uuze kwa elf 70? You cant be serious!!!
Mkuu bei zake huanzia 5K mpk milioni 7 huko...Ha ha ha haaa, si ajabu hadi leo hakuna aloweka bei wameendelea kusema huwez bei.
Mkuu hizo suti wachina wanacopy majina mnadanganyika ni Italy but si kweli jua hivyo.Na wewe usiyedanganyika huwa unaenda Italy kununua? Ndomana nikasema zipo za kuanzia 70 na kuendelea kwa jumla mana yake kuna za bei kubwa zaidi ya hapo sasa wewe umeshikilia hapo kwenye 70? Wewe hizo suti unazozisifia huwa unanunua kwa shilingi ngapi?
Halafu wewe unayesema life la mwenzio bado lipo kwenye kuhemea kula hapo juu unajisifu una kiatu hakijachania soli mwaka wa 7 sasa na wewe unajiweka kwenye kundi la watu wenye maisha bora au bora maisha?Mkuu wengi hao ni wale wa kibaba so life kwao bado ipo kwenye kuhemea kula hivyo vitu vya burton na next ni msamiati kwao!!!
Kwahiyo ulitaka nichome moto? Si hicho tu ninavyo vingine nilinunua hata hujazaliwa ninavyo hadi leo....Halafu wewe unayesema life la mwenzio bado lipo kwenye kuhemea kula hapo juu unajisifu una kiatu hakijachania soli mwaka wa 7 sasa na wewe unajiweka kwenye kundi la watu wenye maisha bora au bora maisha?
Afadhali mtoa mada atapata jibu sasaMkuu bei zake huanzia 5K mpk milioni 7 huko...
Wengine ndo tunashauri kuliko kununua zile takataka kwa bei hiyo bora aagize tu ulaya kwenye suti za maana.
Kama tunanunua wanazokopi majina ndo useme we suti zako unanunua bei gani? Mana suti zina grade hata china kuna original na fake hivyo unanunua kutokana na uhitaji wa mteja na wateja waliwengi waweze kumudu mana kwenye biashara huwezi wauzi suti za bei kubwa watu 10 wakati kuna 100 wanataka za bei za kawaida na mzunguko ni mkubwaMkuu hizo suti wachina wanacopy majina mnadanganyika ni Italy but si kweli jua hivyo.
Zina jipiga pas zenyewHizo Suti Zina Nini??
Bei ya suti nnayovaa nikikutajia utaumia bure moyo....Kama tunanunua wanazokopi majina ndo useme we suti zako unanunua bei gani? Mana suti zina grade hata china kuna original na fake hivyo unanunua kutokana na uhitaji wa mteja na wateja waliwengi waweze kumudu mana kwenye biashara huwezi wauzi suti za bei kubwa watu 10 wakati kuna 100 wanataka za bei za kawaida na mzunguko ni mkubwa
Yawezekana kabla hajazaliwa mwanao mana hatufahamiani..na hukupaswa ujisifie kwa kumsema mtu ilihali wewe unatunza masalia ambayo yatakusaidia kujenga Makumbusho kuwa ulivaa kiatu cha wazungu..na vilevile hataa hao wateja wengine wanavaa kulingana na bei zao wanazomuduKwahiyo ulitaka nichome moto? Si hicho tu ninavyo vingine nilinunua hata hujazaliwa ninavyo hadi leo....
Kuwa na kiatu kwa miaka 7-haimaanishi ndicho hicho tu unachotumia....
Lengo ilikua kuonesha how wenzetu vitu vyao vinalingana hasa na bei unayotoa!!
Ndo madhara ya kusifia kitu usichokijua bei sa muuza suti niumie kisa bei si ntakuwa na wazimuBei ya suti nnayovaa nikikutajia utaumia bure moyo....
Ila jua tu hizo suti za elf 70 ni china tuu na hazina quality kabisaaa.... but kwa wanaoanza maisha si mbaya!!
Kwa arguments unazotoa nakuzaa kabisa unaonekana u kijana mno....Yawezekana kabla hajazaliwa mwanao mana hatufahamiani..na hukupaswa ujisifie kwa kumsema mtu ilihali wewe unatunza masalia ambayo yatakusaidia kujenga Makumbusho kuwa ulivaa kiatu cha wazungu..na vilevile hataa hao wateja wengine wanavaa kulingana na bei zao wanazomudu
Wewe huuzi suti mwanangu, unauza mfano wa suti.Ndo madhara ya kusifia kitu usichokijua bei sa muuza suti niumie kisa bei si ntakuwa na wazimu
Endelea kupiga ramli mana kuzaa si sawa na kukojoaKwa arguments unazotoa nakuzaa kabisa unaonekana u kijana mno....
Na wewe unavaa suti..umeambiwa utaje bei unawewesekaWewe huuzi suti mwanangu, unauza mfano wa suti.
Suti ya mtumba shilingi elfu kumi tu, koti na suruali, tena unaweza kupewa na tai kabisa.