Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,834
Safi,acha si tuwauzie hii unayoiita midosho lakini mkivaa kwenye harusi au sherehe yoyote mnakuwa sawa mana na Suti inaangalia na umbo la mhusika sasa kama upo utafikiri pembetatu kupendeza ni ngumuYeap naagiza au nikienda nanunua. its cheap,suit nzuri GBP 100-150, unavizia SALE.