Ni wa kawaida sna jaman o macho yngu tu
Basi mi warembo siwajui maana naona kawaida sana! Sorry ni kwa upande wangu lkn!
Mi naona blauz yake nzuri zaidii
Ana nywele nzuriii!!!!!!!!!
Eeeh Mkuu.
Unataka uwe Semegi 'angu?
lips zake nzuriiiii sanaAna nywele nzuriii!!!!!!!!!
you jelly?Mmmhhh? ?????
haaaahaaahaaaMi naona blauz yake nzuri zaidii
Mbona Wa kawaida tu. Kama Huyo mzuri basi hata na mimi mzuri
Labda tuanzie hapo ze utamu stori ilikueje?Nakumbuka ze utamu walimtoa huyu Dada akiwa Tanga cement. Hahaha Wa kawaida mnoo
mi nimependa jina lake, so unique , so goodAna sura ya uaminifu katika mapenzi na kazi na atakuwa vizuri kichwani.nimempenda.