ni mrembo,anafaa kweli kuwa afisa uhusiano na matukio Airtel.
Warembo kama hawa rahisi sana kupata nafasi za juu kwenye ajira
ana macho mazuri
Mkuu nadhani hauko peke yako' wakawaida sana!Basi mi warembo siwajui maana naona kawaida sana! Sorry ni kwa upande wangu lkn!
Basi mi warembo siwajui maana naona kawaida sana! Sorry ni kwa upande wangu lkn!
Basi mi warembo siwajui maana naona kawaida sana! Sorry ni kwa upande wangu lkn!
Mkuu nadhani hauko peke yako' wakawaida sana!
Hata mie nahisi sijui warembo maana huyu namuona wakawaida kabisa
Basi mi warembo siwajui maana naona kawaida sana! Sorry ni kwa upande wangu lkn!
ni mrembo,anafaa kweli kuwa afisa uhusiano na matukio Airtel.
Warembo kama hawa rahisi sana kupata nafasi za juu kwenye ajira
ndo hivo we si unaona mtaani wapo wasichana ambao wana uwezo mzuri na wamesoma ila hawana ajira,then unakuta wote wa kwenye ajira sura nzuri kama wamechaguliwa kwa kuangalia suraHivi huwa wanatazama personality na sio uwezo/ qualifications eeh??? nauliza tu! ila mrembo kweli..
wanaume tunahangaika kutafuta kazi mpaka miaka 3 tupo kitaa tuYah hata kama hajaomba boss anaweza kumbembeleza ili ampe kazi.