Kwanini tatizo lisitatuliwe? Hivi chuo kikubwa kama hicho , majengo ya kutisha halafu elimu duni maana yake nini? Mgt inashindwa nini kutafuta ufumbuzi? Tunataka quality education na siyo mradi degree tu za bila viwango, fanyieni kazi haraka hilo tatizo acheni siasa siasa zenu