Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Mosswad lipewe hyo kazi
yaani usalama wa taifa suala lililo wazi kama hili limewashinda?Nimemsikia Nchimbi akithibitisha hilo...ameomba kibali kwa Raisi ili kuruhusu wataalamu kutoka nje (Majasusi) kushiriki pamoja na jeshi la polisi kuharakisha uchunguzi wa jambo hilo. Yaonekana jeshi letu halina mbinu madhubuti na za kisa sa za kuweza kupambana na uhalifu wa aina hii kwa kuwa bado linafanya kazi kizamani.
Hakuna mtu anayekataa hoja hii kujadiliwa, utata unakuja pale kuna matukio nyuma yaliyotokea ambayo pia yamedhuru Watanzania au wengine kuuliwa(Dr.Ulimboka na Mwangosi) lakini serikali hadi leo imekaa kimya lakini ili la Padri inawaingiza FBI,CIA kuja kuchunguza. hapa tunapata shida kidogo na hapa tunaendelea kuongeza tabaka la udini inawezekana kabisa mauaji haya yakaratibiwa na waumini au muumini wa dhehebu lingine tofauti na waislam lakini hao tunaowaita FBI,CIA kwa sababu wao siku zote wapo katika kuupinga Uislam wataingiza ya kwao juu ya Uislam kwa hiyo tunatakiwa tuwe makini sana tunapoleta watu kuja kutufanyia uchunguzi kwa mambo yanayotuhusu sisi wenyewe. na pia tujiulize Mwangosi aliuliwa je Ubalozi wa Marekeni ulilaani tukio lile? kama sio inakuwaje leo walaani tukio hili la Padri kwa sababu yote ni matukio mabaya sana waliyofanyiwa Binadamu.Mkuu hoja iliyopo mezani kwa sasa ni uchunguzi wa kifo cha padri!Au hutaki hoja hii ijadiliwe kwa sababu unazozijua mwenyewe?
Katika kile kinachoonekana jeshi la Polisi nchini kukosa imani tena kwa jamii serikali imeridhia uchunguzi wa mashirika ya kijasusi toka nje. Ili kujua nani yuko nyuma ya kadhia hiyo.
Concern
Hapa najua wanataka kuwatupia watu wa nje lawama nahakika wanajua nani anaendesha mauwaji lakini unafiki wa kukamatana ndo unawasumbua hawa serikali. Uchunguzi ukitoka utawasikis "kulingana na uchunguzi wa kijasusi toka nje umebaini.........." Ili wao waonekane sio walio watia hatiani watuhumiwa.
Hao wote ni Wakristo wanauwana kwa pesa za
Kanisa, lakini watu wanajitia hamnazo kwa kuwambakizia WAISLAMU sakata hili! Tukio hili halihusiani na muislamu yoyote na kama wangefanya Waislamu mungeiyona joto ya jiwe
pangechimbika!
Waislam tanzania kiama chenu kimefika, wanaokuja ni wale wanaowauwa waislam kila siku dunian kwa kisingizio cha ugaidi lakin hata siku moja hawajaonyesha gaidi ni nani na anafanya nn kutimiza huo ugaidi, waislam wengi wameuwawa na lkn hatujasikia unafanywa uchunguzi kutoka hata kwa jeshi la polisi tu. Lkn leo kauwawa binadam wanaambiwa majasusi waingie nchin kumtafuta gaidi, nani alishawahi kusikia mkristo anaitwa gaidi? Waislam sasa yale ya afghanstan,libya,somalia na nchi zingine silizosimamisha uislam yanakuja tanzania tena kwa ruhusa maalum, hii inaweza kuwa ya ule msemo wa usimoige mtoto usiku, yaan waislam wako katika jitihada za kutaka haki zao wanakuja watu wanamuua padri halafu wanasema waislam wamemuua ili ipatikane fursa ya kuwaua na kuhakikisha waislam hawapati tena fursa ya kuendelea kudai yale ambayo wakristo hawayapendi. Jiandaeni
Hakuna mtu anayekataa hoja hii kujadiliwa, utata unakuja pale kuna matukio nyuma yaliyotokea ambayo pia yamedhuru Watanzania au wengine kuuliwa(Dr.Ulimboka na Mwangosi) lakini serikali hadi leo imekaa kimya lakini ili la Padri inawaingiza FBI,CIA kuja kuchunguza. hapa tunapata shida kidogo na hapa tunaendelea kuongeza tabaka la udini inawezekana kabisa mauaji haya yakaratibiwa na waumini au muumini wa dhehebu lingine tofauti na waislam lakini hao tunaowaita FBI,CIA kwa sababu wao siku zote wapo katika kuupinga Uislam wataingiza ya kwao juu ya Uislam kwa hiyo tunatakiwa tuwe makini sana tunapoleta watu kuja kutufanyia uchunguzi kwa mambo yanayotuhusu sisi wenyewe. na pia tujiulize Mwangosi aliuliwa je Ubalozi wa Marekeni ulilaani tukio lile? kama sio inakuwaje leo walaani tukio hili la Padri kwa sababu yote ni matukio mabaya sana waliyofanyiwa Binadamu.
bila kusahau gogle!! watawanywesha majitaka hadi wajuute kufanya vitu visivyotakiwa.acha waje wazee wa kazi cia. fbi.mosab,m16.kgb.uone mambo huwa hawana cha rushwa wala kujuana
tunachezewa tu hapa
watakuja na majibu sahihi, atasimama kwenye mkutano na wazee wa dar kisha atasema "hao wazungu wa yao hao"
then kila kitu kitaishia hapo
he is just crewing us deep
GAIDI!!!!ni GAIDI TUUWaislam tanzania kiama chenu kimefika, wanaokuja ni wale wanaowauwa waislam kila siku dunian kwa kisingizio cha ugaidi lakin hata siku moja hawajaonyesha gaidi ni nani na anafanya nn kutimiza huo ugaidi, waislam wengi wameuwawa na lkn hatujasikia unafanywa uchunguzi kutoka hata kwa jeshi la polisi tu. Lkn leo kauwawa binadam wanaambiwa majasusi waingie nchin kumtafuta gaidi, nani alishawahi kusikia mkristo anaitwa gaidi? Waislam sasa yale ya afghanstan,libya,somalia na nchi zingine silizosimamisha uislam yanakuja tanzania tena kwa ruhusa maalum, hii inaweza kuwa ya ule msemo wa usimoige mtoto usiku, yaan waislam wako katika jitihada za kutaka haki zao wanakuja watu wanamuua padri halafu wanasema waislam wamemuua ili ipatikane fursa ya kuwaua na kuhakikisha waislam hawapati tena fursa ya kuendelea kudai yale ambayo wakristo hawayapendi. Jiandaeni