Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
Je unauhakika kauwawa kwa sababu za kidini? kumbuka yeye ni binadamu tusihukumu tusubiri ripoti kamili.
je wewe mkuu unao uhakika kuwa hawakufanya kwa sababu za kidini?
je kama ni majambazi padri alikuwa na pesa gani za kuiba? au mali gani za kuibwa?