Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,209
acha waje wazee wa kazi cia. fbi.mosab,m16.kgb.uone mambo huwa hawana cha rushwa wala kujuana
Huyu sheikh Ilunga anafikiri atabaki salama wakati kila mtu atakapoamua kunyanya silaha yake juu!
anchoamini yeye ni kuwa hata kama mkishika silaha na kumuua iyo itakuwa ni tiketi yake ya peponi.....hii inadhiirisha ni waislamu wachache sana wenye IMANI na AKILI kwani wengi wao wana IMANI lakini wamekosa AKILI kuitumikia vyema imani yao.
Afadhali wangetuletea na rais kutoka nje. Kikwete magogoni imemshinda.
mashirika ya kijasusi toka nje.
Afadhali wangetuletea na rais kutoka nje. Kikwete magogoni imemshinda.
Jasusi,
Hivi bado una imani Dr Slaa atakuja kuwa rais wa Tanzania.
Jasusi,
Hivi bado una imani Dr Slaa atakuja kuwa rais wa Tanzania.
ni raisi gani ungempendelea aje kutuongoza na gadafi washamuuwa?
Jasusi,
Hivi bado una imani Dr Slaa atakuja kuwa rais wa Tanzania.
Katika kile kinachoonekana jeshi la Polisi nchini kukosa imani tena kwa jamii serikali imeridhia uchunguzi wa mashirika ya kijasusi toka nje. Ili kujua nani yuko nyuma ya kadhia hiyo.
Concern
Hapa najua wanataka kuwatupia watu wa nje lawama nahakika wanajua nani anaendesha mauwaji lakini unafiki wa kukamatana ndo unawasumbua hawa serikali. Uchunguzi ukitoka utawasikis "kulingana na uchunguzi wa kijasusi toka nje umebaini.........." Ili wao waonekane sio walio watia hatiani watuhumiwa.[/QUOTE
Upumbavu mtupu.....!
Anasuburi hadi jambo litokee!!
Then raisi jambo kubwa kama hili anaogopa hata kuliongelea anamtuma Salva!
dah hadi majasusi kumbe hatuna!!!! who runs this country by the-way?
Wewe nini maoni yako kuhusu mauaji yanayoendelea nchini? Je ni kweli kuna umuhimu wowote wa kuwa na dini zilizokuja kwa ndege na meli?