BBC: Jumuia ya Afrika Mashariki mashakani, Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waunda umoja wao!

Nuru ya jk itaendelea kusonga mbele kwanza wale wote wanamatatizo ni wakabila,na udikteta kwa kagame na museveni.

Sasa hayo yametoka wapi mkuu ishu ni kwamba Marais 3 wamekutana ktk kikao cha faragha sasa kinachozungumziwa kama hakihusu Tz Jk aende kufanya nini.
 
kama unakumbuka wakati wa kampeni za uchaguzi kenya Tanzania ilikuwa inamuunga mkono Raila na CCM ILIWAKILISHWA NA MH JOHN MAGUFULI, NA PIA KULE ETHIOPIA KUNA KAULI ALIYOTOA MH KIKWETE YA MAAFIKIANO KWA SERIKALI ZA UGANDA RWANDA KUONGEA NA WAPINZANI WAO, HILI HALIKUWAPENDEZA AKINA MSEVENI NA KAGAME, PENGINE LINAWEZA KUWA SABABU ZA KUJITENGA KATIKA HIKI KIKAO CHA DHARURA? HAPA TANZANIA KULIKUWA TAARIFA KUWA MSEVEN ANGETUMIA BANDARI YA TANGA NA WANGETENGENEZA NJIA YA RELI YA KUSAFIRISHA MIZIGO, LAIKINI KATIKA MAZUNGUMZO YA LEO, WAMEONGELEA MIPANGO YA KUJENGA RELI YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA MOMBASA HADI UGANDA NA RWANDA. KWA HARAKA HARAKA UNAWEZA KUONA KUNA JAMBO HAPO


 
kama unakumbuka wakati wa kampeni za uchaguzi kenya Tanzania ilikuwa inamuunga mkono Raila na CCM ILIWAKILISHWA NA MH JOHN MAGUFULI, NA PIA KULE ETHIOPIA KUNA KAULI ALIYOTOA MH KIKWETE YA MAAFIKIANO KWA SERIKALI ZA UGANDA RWANDA KUONGEA NA WAPINZANI WAO, HILI HALIKUWAPENDEZA AKINA MSEVENI NA KAGAME, PENGINE LINAWEZA KUWA SABABU ZA KUJITENGA KATIKA HIKI KIKAO CHA DHARURA? HAPA TANZANIA KULIKUWA TAARIFA KUWA MSEVEN ANGETUMIA BANDARI YA TANGA NA WANGETENGENEZA NJIA YA RELI YA KUSAFIRISHA MIZIGO, LAIKINI KATIKA MAZUNGUMZO YA LEO, WAMEONGELEA MIPANGO YA KUJENGA RELI YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA MOMBASA HADI UGANDA NA RWANDA. KWA HARAKA HARAKA UNAWEZA KUONA KUNA JAMBO HAPO



Nimependa mchango wako atleast unaonyesha upeo wa mambo, lakini mkuu mimi nilidhani CCM walikuwa kwa KENYATTA na CDM kwa ODINGA au ikoje? Kwenye Kauli ya Ethiopia nayo inaweza kuchangia pia kwa namna moja au nyingine,lakini inatufundsha pia kuongeza ufanisi katika kuendesha Bandari ya Dsm na kuweka sawa bandari ya TANGA wakati mwingine Urasimu ukizidi wateja wanaangalia kwenye service nzuri.
 
Jamani Rais kikwete hana shida tatizo niwatendaji wake na kuhusu kwenda kwenye kikao jamani tambueni kuwa Rais naye anapangiwa ratiba huwa hajiendei tu kama ww unavyotoka nyumbani kwako ok na anaongozwa na sheria pia kuna gharama kulingana huwa haendi peke yake.

Yani wewe ndio hata kudanganya watu humu hujui. Gharama za kwenda Uganda na zile alizotumia kwenda kubembea Cuba ni zipi kubwa zaidi..
 
niliwahi sema itafika siku majirani wetu watatuchapa mabomu kwa sisi kuzidi kuwa upuuzi wetu.
 
Jamani Rais kikwete hana shida tatizo niwatendaji wake na kuhusu kwenda kwenye kikao jamani tambueni kuwa Rais naye anapangiwa ratiba huwa hajiendei tu kama ww unavyotoka nyumbani kwako ok na anaongozwa na sheria pia kuna gharama kulingana huwa haendi peke yake.

Jk huwa hajali swala la gharama
 
Maneno ya mkosaji wale wamekutana kikao cha faragha,unajua maana ya faragha wewe,kwani hao marais wanachangia nini kwa tanzani na isitoshe wanaona soo kwa obama kuja tanzania.

Weye nae kwa ununda!!!Yaani waona ujio wa Obama ni mzinga wa dili kwa watiizi???AMA KWELI "WAJINGA NDIO WALIWAO".
 
wanajf!kwa aliyebahatika kusikiliza bbc jioni ya leo atakubaliana nami kuwa jk amechokwa au anatengwa na wenzake,, kitendo cha kagame,museveni na uhuru kenyata kukutana kikao cha faragha leo entebe-uganda bila kumshirikisha jk,imeniweka pabaya!!hawa marais wanamuonaje rais wetu! naomba kuwasilisha
Kama walivyosema wachangiaji waliopita, hao viongozi uliowataja ni maadui wa Tanzania na wanakaa kupanga mbinu za kutuangamiza tu si vinginevyo! JK yupo katika wakati mgumu kuiongoza TZ katika shirikisho hili hatari, tumeshazama humo na hatujui nani anatuokoa. Hatuna rafiki wala mtetezi wa karibu hapa Africa.....Eeeh Mungu tubariki
 
wanajf!kwa aliyebahatika kusikiliza bbc jioni ya leo atakubaliana nami kuwa jk amechokwa au anatengwa na wenzake,, kitendo cha kagame,museveni na uhuru kenyata kukutana kikao cha faragha leo entebe-uganda bila kumshirikisha jk,imeniweka pabaya!!hawa marais wanamuonaje rais wetu! naomba kuwasilisha

hapa kuna alliance ambayo nionavyomimi inaweza hatarisha intergration.coz according to museven alijibu simple kuwa walikuwa wanazungumzia intergration.
 
Kama walivyosema wachangiaji waliopita, hao viongozi uliowataja ni maadui wa Tanzania na wanakaa kupanga mbinu za kutuangamiza tu si vinginevyo! JK yupo katika wakati mgumu kuiongoza TZ katika shirikisho hili hatari, tumeshazama humo na hatujui nani anatuokoa. Hatuna rafiki wala mtetezi wa karibu hapa Africa.....Eeeh Mungu tubariki

Sidhani kama tumefika huko mkuu bado hawa ni majirani zetu hicho kikao kisikutishe.
 
wanajf!kwa aliyebahatika
kusikiliza bbc jioni ya leo atakubaliana nami kuwa jk amechokwa au
anatengwa na wenzake,, kitendo cha kagame,museveni na uhuru kenyata
kukutana kikao cha faragha leo entebe-uganda bila kumshirikisha
jk,imeniweka pabaya!!hawa marais wanamuonaje rais wetu! naomba
kuwasilisha

bongo tu imemshinda, atayawezaje mambo ya east africa!
 
wanajf!kwa aliyebahatika kusikiliza bbc jioni ya leo atakubaliana nami kuwa jk amechokwa au anatengwa na wenzake,, kitendo cha kagame,museveni na uhuru kenyata kukutana kikao cha faragha leo entebe-uganda bila kumshirikisha jk,imeniweka pabaya!!hawa marais wanamuonaje rais wetu! naomba kuwasilisha

Mbulula hana jipya kwa werevu
 
Jk haongei na mbwa, anaongea na mwenye mbwa!! Kesho kutwa hapa obama atakuwa magogoni tegeta,mbagala na gongolamboto, hamjiulizi kwann haendi kwao kenya anakuja kinondoni?
 
wanajf!kwa aliyebahatika kusikiliza bbc jioni ya leo atakubaliana nami kuwa jk amechokwa au anatengwa na wenzake,, kitendo cha kagame,museveni na uhuru kenyata kukutana kikao cha faragha leo entebe-uganda bila kumshirikisha jk,imeniweka pabaya!!hawa marais wanamuonaje rais wetu! naomba kuwasilisha


Mbulula hana jipya mbele ya werevu.....
 
Wadau hii imekaaje?
Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waanzisha umoja wao KKK wamtenga Kikwete.
Marais wa kenya, uganda na Rwanda wameunda umoja wao wanajiita KKK eti Kagame, Kaguta na Kenyata.
Huu mshikamano wa hawa jamaa si kuua kabisa jumuia ya Afrika Mashariki? Na kwa nini ije wakati huu ambapo Kikwete ana bifu na Kagame?
Mpaka mtangazaji wa BBC akawa anahoji kwa nini wamemtenga Kikwete lkn wao wamesisitiza umoja wao ni wa Kiuchumi tu.
 
Back
Top Bottom