Jk haongei na mbwa, anaongea na mwenye mbwa!! Kesho kutwa hapa obama atakuwa magogoni tegeta,mbagala na gongolamboto, hamjiulizi kwann haendi kwao kenya anakuja kinondoni?
Hili jambo limenishangaza hata mimi. We are the big brother. How on earth could they do this? I was shocked. Uganda inataka kujenga bomba la mafuta kutoka Mombasa. Aidha, inasemekana wanataka kumkingia kifua Kenyatta kwenye kesi ya the Hague. Hii ni kali lakini haileweshi.wanajf!kwa aliyebahatika kusikiliza bbc jioni ya leo atakubaliana nami kuwa jk amechokwa au anatengwa na wenzake,, kitendo cha kagame,museveni na uhuru kenyata kukutana kikao cha faragha leo entebe-uganda bila kumshirikisha jk,imeniweka pabaya!!hawa marais wanamuonaje rais wetu! naomba kuwasilisha
Nani amekuambia walikuwa wanatafuta wachumba we mliberali?Lakini kati ya marais wote hao kikwete ndio handsome
Lakini kati ya marais wote hao kikwete ndio handsome
Inawezekana kweli. Mauaji ya CCM polisi usikute anayeyasimamia ni mgomea mtarajiwa wa CCM (kama Membe n.k.) anakuwa na mikakati ya kuhakikisha anawamaliza nguvu CDM. Kumbukeni JK alisema wagombea mjipange sasa wajipangeje??Jamani Rais kikwete hana shida tatizo niwatendaji wake na kuhusu kwenda kwenye kikao jamani tambueni kuwa Rais naye anapangiwa ratiba huwa hajiendei tu kama ww unavyotoka nyumbani kwako ok na anaongozwa na sheria pia kuna gharama kulingana huwa haendi peke yake.
Tanzania hakuna uongozi thabiti na viongozi waliopo longolongo tuu hakuna utekelezaji,huku KKK ni kuchapa kazi kwa kwenda mbele.Hembu tujiulize ni miaka mingapi tangu tuseme reli ya dar-rwanda,burundi itajengwa?tanga-mwanza kupitia serengeti ku save uganda?