john hotsam da1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 396
- 78
simu ipo katika hali nzuri,imetumika kidogo tu,ipo dar es salaam kwa bei ya 220 000 kwa bahati mbaya simu haina charger na bei ni fixed.nitumie sms 0763 309632 au 0658 309632
Mi nakupa laki na ishiri ukuweza ni pm.
Mi nakupa laki na ishiri ukuweza ni pm.
Mkuu acha kuchuria biashara za watu. Mi ntaongezeapo 30k akamate 150k afu nikachacharike kununua charger.
Loh sijui ni ile ya mfanyakazi mwenzetu iliyoibiwa pale mataa!da,mkuu bei ni fixed