Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Waheshimiwa naomba kupatiwa jina halisi la kiswahili la bazoka au big G. Maana haya yote ni majina yaliyotolewa na makampuni yanayotengeneza bidhaa hii.
Kwa nini hili jina la ubani sio maarufu huko bara?Ubani wa kutafuna.
Kwa nini hili jina la ubani sio maarufu huko bara?
Ubani wa kutafuna