Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Niumbuke kwa kutabiri? unafikiri wakati naandika sikujua mpira una matokeo matatu draw,kushinda au kufungwa? ina maana wote waliotabiri na haikuwa sahihi mpaka walio bet wameumbuka? unajua maana ya kutabiri? Jipange weweumeumbuka! thread umeweka maneno kibao...!!! sasa hivi unatamani ijidelete isionekane. hahahahaaaaa