Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Ingawa kihistoria kwa miaka ya hivi karibuni,hakuna timu iliyoweza kuchukua kombe la klabu bingwa ulaya fainali ikifanyikia nyumbani kwa timu hiyo(uwanja/nchi husika),nawatabiria Bayern Munich kuvunja mwiko huu hasa ukizingatia nina amini watawatoa Real Madrid katika nusu fainali.Endapo Barcelona wataingia fainali basi nao watakuwa wanataka kuvunja mwiko mwingine wa kulitetea kombe hilo,ila naamini Bayern Munich ndio watakaoibuka kidedea..kwangu kikwazo cha Munich kuchukua klabu bingwa ulaya ni Madrid..Naelewa uwezo wa timu nyingine mbili Chelsea na Barca ila nawapa Bayern nafasi zaidi
Mwaka fainali Bingwa
2012 Munich ?
2011 Wembley Barcelona
2010 Madrid Inter Milan
2009 Rome Barcelona
2008 Moscow Man Utd
2007 Athens AC Milan
2006 France Barcelona
2005 Instabul Liverpool
..........................................
..........................................
Hatimaye siku imewadia,nabashiri Bayern Munich 3 Chelsea 1
Mwaka fainali Bingwa
2012 Munich ?
2011 Wembley Barcelona
2010 Madrid Inter Milan
2009 Rome Barcelona
2008 Moscow Man Utd
2007 Athens AC Milan
2006 France Barcelona
2005 Instabul Liverpool
..........................................
..........................................
Hatimaye siku imewadia,nabashiri Bayern Munich 3 Chelsea 1