SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Bingwa ni mh mh bar.....oh...nooo.real,chelsea....oor soree bay....no nimesahau ni barcelona!
Mbona umewasahau ARSENAL???
Bingwa ni mh mh bar.....oh...nooo.real,chelsea....oor soree bay....no nimesahau ni barcelona!
Kama jana uliangalia mechi ya Chelsea na Benfica, Commentator alikumbusha kwa kusema, no london team has won the UEFA Champions League trophyMbona sioni ARSENAL wala CHELSEA hapo? Ina maana ARSENAL ni weupee UEFA Champions league?
samahani wakuu nilimaanisha Robbenkaka sjneidjer kafikaje huku.
Yaani timu zinabaki mbili ndio mnaanza kutabiri? Haa haa haaa! Wengi mlisema Barcelona, sasa Bayern! Tutasikia utabiri hata baada ya bingwa kupatikana!Kwangu mimi imekuwa ni timu bora kwa mwaka huu kwenye CL. Tactically, Technically, Physically na Mentally wana nafasi kubwa ya kuwa mabingwa msimu huu wa CL
Yaani timu zinabaki mbili ndio mnaanza kutabiri? Haa haa haaa! Wengi mlisema Barcelona, sasa Bayern! Tutasikia utabiri hata baada ya bingwa kupatikana!
Naomba unionyeshe applicxation ya factor ulizozitoa kwa BM kuwa bingwa, ukizingatia kuwa kila mtu alituambia kuwa tutatolewa na BarcaKwangu mimi imekuwa ni timu bora kwa mwaka huu kwenye CL. Tactically, Technically, Physically na Mentally wana nafasi kubwa ya kuwa mabingwa msimu huu wa CL
Wataaibika sana hawa chelsea, subiri muda ufike.
Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Kama jana uliangalia mechi ya Chelsea na Benfica, Commentator alikumbusha kwa kusema, no london team has won the UEFA Champions League trophy
Aibu yetu ay aiby yao? Subiri tuone itakuwa aibu ya nani. Tuliposema Barca akatishi tukabezwa, taratibu tunasongaWataaibika sana hawa chelsea, subiri muda ufike.
Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Naomba unionyeshe applicxation ya factor ulizozitoa kwa BM kuwa bingwa, ukizingatia kuwa kila mtu alituambia kuwa tutatolewa na Barca
sawa, lakini nawe si umesema hakuna timu iliyocheza fainali nyumbani na ikachukua kombe, mbona bado umewatabiria bayern kuchukua kombe? kwa mtindo huo huo hakuna timu ya londoni iliyokwisha kuchukua kombe na chelsea ndo watakuwa wa kwanza