SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,765
Mkuu hapo ndipo penye shida. Kila siku utasikia huyu kanunuliwa ama yule kanunuliwa. Imefika hatua hata viongozi wa juu wa BAVICHA tunaambiwa wamenunuliwa.Hivi ni rahisi hivyo kuwanunua viongozi ama wanachama?
Hao siyo kama wamenunuliwa bali ni unnder cover agents wameamua kujilipua na kujionyesha rangi zao halisi.