DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Wewe endelea kujenga hoja usianze kulazimisha hoja, tunazungumzia mada yako ya historia ya wasukuma na wanyamwezi ambayo naona huijui, na kama unafikiri mwamko wa wasukuma ni mdogo rejea uchaguzi uliopita ndio utajua msukuma ni mtu wa aina gani ni mkimya lakini akisema NO ni NO kweli kweli hata wewe umekiri CCM walivyoshindwa kumtoa Cheyo.
Hivi unawasikia CCM haswa wanapokuwa kwenye ngome zao haswa usukumani.Hivi unajua ni kwanini Kikwete kawaambia CCM wamtafute Rostam yote hiyo ni moja ya uzoefu wa CCM juu ya Mikoa hiyo.
Ndio maana nikasema Kama watamtumia Msukuma Mwenzao Rostam Aziz CCM watachomoka mia kwa mia,lakin akigoma watacheza wenyewe turufu yao.Lakini huo huyo huyo Rostam na kama atakataa kushiriki kuwarudishia CCM Mbunge kwa tiketi ya CCM atatafuta pa kuishi kwa kuwaingiza CCM kwenye utata.Hao ndio CCM ukiwabeep wanakupigia,siokuwa CCM ni undefeated cha msingi ni mbinu sahihi na mikakati sahihi ya kisayansi ndio silaha pekee ya kupambana na CCM.
CDM nasubili kuona picha hiyo na CCM igunga,manake ni matumaini yetu kuona kuwa jamaa hawa wawili CCM v/s CDM wanacheza soka la kulipwa.