BAVICHA Igunga: Hali iko vipi?

mpiganiahaki

Senior Member
Apr 28, 2011
170
67
Leo ni siku ya nane toka kuanza harakati za bavicha zikiongozwa na John Heche jimbo la Igunga. Ila toka kuanza kwa harakati hizi hakuna taarifa zozote tulizopewa hadi sasa juu ya hali ya kisiasa jimboni humo, je ni mapokezi ya aina gani makamanda wetu wamepata na wanaendelea kupata vile vile ni mafanikio gani hadi sasa wameyapata kutokana na harakati zao?

Jamani mlioko huko Igunga naomba mtujuze hapa hapa jamvini, Heche na wenzako tunahitaji kusikia kutoka kwenu
 
Nimesoma gazeti moja leo, wanasema ujumbe wa CDM umekutana na hali ngumu Igunga. Pia wana Igunga wanamsubiri kwa hamu Slaa aende Igunga.

Apeleke ushahidi wa ufisadi wa mbunge wao au aende akawaombe radhi..zaidi ya hapo Chadema hawana chao Igunga!
 
Nimesoma gazeti moja leo, wanasema ujumbe wa CDM umekutana na hali ngumu Igunga. Pia wana Igunga wanamsubiri kwa hamu Slaa aende Igunga. Apeleke ushahidi wa ufisadi wa mbunge wao au aende akawaombe radhi..zaidi ya hapo Chadema hawana chao Igunga!
Kazi kweli kweli. Gazeti gani hilo ulilolisoma?
 
Leo ni siku ya nane toka kuanza harakati za bavicha zikiongozwa na John Heche jimbo la Igunga. Ila toka kuanza kwa harakati hizi hakuna taarifa zozote tulizopewa hadi sasa juu ya hali ya kisiasa jimboni humo, je ni mapokezi ya aina gani makamanda wetu wamepata na wanaendelea kupata vile vile ni mafanikio gani hadi sasa wameyapata kutokana na harakati zao? Jamani mlioko huko Igunga naomba mtujuze hapa hapa jamvini, Heche na wenzako tunahitaji kusikia kutoka kwenu

wana hali mbaya wanatembelea mkongojo igunga ccm damu damu
 
Nimesoma gazeti moja leo, wanasema ujumbe wa CDM umekutana na hali ngumu Igunga. Pia wana Igunga wanamsubiri kwa hamu Slaa aende Igunga. Apeleke ushahidi wa ufisadi wa mbunge wao au aende akawaombe radhi..zaidi ya hapo Chadema hawana chao Igunga!

Gazeti gani?
 
Gazeti lenyewe ni TAZAMA la leo 2/8/2011. jaribu kulipata ulisome mimi nimelisoma leo kwa mara ya kwanza.
 
Kwa hali ya kawaida na siasa za majitaka za nchi hii mshindi atatoka ccm ama cuf,mimi si mwanacha na mpenzi wa vyama vya siasa ila kazi ni ngumu kwa cdm.tujifunze kupokea machungu kama tunavyopenda kupokea matamu.
 
Nimesoma gazeti moja leo, wanasema ujumbe wa CDM umekutana na hali ngumu Igunga. Pia wana Igunga wanamsubiri kwa hamu Slaa aende Igunga. Apeleke ushahidi wa ufisadi wa mbunge wao au aende akawaombe radhi..zaidi ya hapo Chadema hawana chao Igunga!

Hili ni tusi kwa wana Igunga. Slaa alisema RA ni fisadi ikapita miaka miaka mingi, akagombea ubunge 2010 akapata, ccm wamesema ni fisadi, hazikupita siku 90 akajiuzuru. Hivi wa kupeleka ushahidi ni nani? Kama ni kuchukia basi wanapaswa kuichukia zaidi ccm.

Pili, hivi ufisadi wa RA ulikwa unaisaidia Igunga kweli?; kama ni ndiyo, je ni kwa kiwango cha ufisadi ule wa mabilioni?
Mimi nadhani kuna wachache waliokuwa waapata vimisaada toka kwa RA nao ndio waliolia; lakini walio wengi watakuwa tofauti.

Mwisho, waTZ tuache tabia ya kutaka kupewapewa tu, tumpende mbunge atakayejenga hoja ya kutaka tupewe haki zetu. Tunatimiza wajibu wetu wa kulipa kodi, na serikali itimize wajibu wake wa kuleta maendeleo; NACHUKIA SANA NINAPOSIKIA MBUNGE ANAMWAMBIA WAZIRI ..NAOMBA UMEME, NAOMBA BARABARA NK. TENA KWA KUBEMBELEZA.

Mbunge unapaswa kudai!
 
Inabidi dr aende kuwatoa tongotongo wanaigunga ili uchaguz ujao wa 2015 cdm ishinde
 
mnamuuliza heche mnakosea, jamaa enu aliondoka zamani tu hapo igunga jana nimemuona mitaa ya mlimani city akinywa konyagi, nasikia alitaka awe msemaji mkuu kwenye mikutano ya igunga, akina benson na tumbo na waitara wakambania akapewa nafasi ya pili kuongea hahaa jamaa akachukia na kudanganya eti anaenda kuitisha press kwa mambo ya issue nyingine, lakini kwa nini cdm mnagombania umaarufu na mnabaniana hivyo? siku moja jamaa aliniambia kuwa yeye hana mshahara kwa hiyo ni lazima cdm imuone na ikubali ziara alizozipanga ili apate nafuu ya life.

Lakini kamati kuu ikapiga chini mipango yake hiyo ya kutaka kulamba miposho hahahaa eti bajeti yake ilikua million 30 kwa mikoa 8 hahaaa! cdm bwana!!
 
Nimesoma gazeti moja leo, wanasema ujumbe wa CDM umekutana na hali ngumu Igunga. Pia wana Igunga wanamsubiri kwa hamu Slaa aende Igunga. Apeleke ushahidi wa ufisadi wa mbunge wao au aende akawaombe radhi..zaidi ya hapo Chadema hawana chao Igunga!
<br />
<br />
bila shaka litakuwa gazeti la uhuru.
 
Nimesoma gazeti moja leo, wanasema ujumbe wa CDM umekutana na hali ngumu Igunga. Pia wana Igunga wanamsubiri kwa hamu Slaa aende Igunga. Apeleke ushahidi wa ufisadi wa mbunge wao au aende akawaombe radhi..zaidi ya hapo Chadema hawana chao Igunga!
<br />
<br />
Lete source hapa usiongee hovyohovyo kwa assume mambo after all hayo magazeti ya wana Magamba
 
mnamuuliza heche mnakosea, jamaa enu aliondoka zamani tu hapo igunga jana nimemuona mitaa ya mlimani city akinywa konyagi, nasikia alitaka awe msemaji mkuu kwenye mikutano ya igunga, akina benson na tumbo na waitara wakambania akapewa nafasi ya pili kuongea hahaa jamaa akachukia na kudanganya eti anaenda kuitisha press kwa mambo ya issue nyingine, lakini kwa nini cdm mnagombania umaarufu na mnabaniana hivyo? siku moja jamaa aliniambia kuwa yeye hana mshahara kwa hiyo ni lazima cdm imuone na ikubali ziara alizozipanga ili apate nafuu ya life. ..lakini kamati kuu ikapiga chini mipango yake hiyo ya kutaka kulamba miposho hahahaa eti bajeti yake ilikua million 30 kwa mikoa 8 hahaaa! cdm bwana!!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Muda wenu wa kifo umekaribia wana Magamba endeleeni kushabikia upuuzi
 
mnamuuliza heche mnakosea, jamaa enu aliondoka zamani tu hapo igunga jana nimemuona mitaa ya mlimani city akinywa konyagi, nasikia alitaka awe msemaji mkuu kwenye mikutano ya igunga, akina benson na tumbo na waitara wakambania akapewa nafasi ya pili kuongea hahaa jamaa akachukia na kudanganya eti anaenda kuitisha press kwa mambo ya issue nyingine, lakini kwa nini cdm mnagombania umaarufu na mnabaniana hivyo? siku moja jamaa aliniambia kuwa yeye hana mshahara kwa hiyo ni lazima cdm imuone na ikubali ziara alizozipanga ili apate nafuu ya life. ..lakini kamati kuu ikapiga chini mipango yake hiyo ya kutaka kulamba miposho hahahaa eti bajeti yake ilikua million 30 kwa mikoa 8 hahaaa! cdm bwana!!


mwongo wahed wewe... acha uzushi! jamaa yupo imara na hakuna wa kumwingilia katika majukumu yake anayoyapanga na sekretariat yake. kwa taarifa yako anakubalika ile mabaya. wewe utAkuwa gamba ndo maana unataka kuzusha hapa.. umechelewa , coz tushawang'amua wote huku ndani ya JF
 
Wanachadema ni vyema CDM wakainvest kwenye tafiti na kujua tabia za wananchi kwenye majimbo husika kwa kuwa utamaduni na tabia zetu kimakabila pia zinaathiri maamuzi yetu na utendaji wetu.

Kwa tabia ninavyowajua wanyamwezi na wasukuma ni watu walio watiifu kitabia kwa wenye mamlaka [Royal],Msukuma au mnyamwezi ni mwoga kwa mwenye mamlaka hata wakati mwingine utaniwa kuwa unaweza kumkuta kituo cha polisi selo,kashikilia nondo za sero ukamuuuliza vipi tegemea jibu kama "NDO SHIDA" yaani kwa kiswahili HAKUNA TATIZO.Sasa kama hakuna tatizo sero unafanya nini?Huyo ndio Msukuma na Mnyamwezi ambao kitabia wanashabiana sana.

Hivyo kwa jimbo la IGUNGA ushauri wangu kwa CHADEMA waende wakajifunze tabia za jamaa hao na uenda siku za mbele wakajua jinsi ya kudeal nao.

Waliipo lia juu ya jamaa yao Rostam ni kweli,kwa kuwa wao huwa si watu wa kujua kitu kwa undani ndio maana ni moja ya makabila yaliyongoza miaka ya nyuma enzi za ukoloni kukubali kuwakaribisha wageni na kuwapa Ardhi na mabinti zao.

Ukitembele mikoa ya uko ni lahisi na si ajabu kusikia baadhi ya majina kama MASKATI FISI,yaani ni sehemu ya jina la mji mmoja uko uarabuni lakini ndani ya Tanzania.

Hivyo CHADEMA kajifunzeni jinsi ya kuwabadilisha wenyeji hao,kwa kuwa kikabila wanautamaduni wao ambao ni mzuri kwa watawala lakini ukiwaponza wao kama Watanzania wenye kuitaji maendeleo.Moja ya mapungufu yao ni kupenda kutawaliwa na wageni.Mikoa hiyo ukiitazama sana wawakilishi wake wengi wa bungeni wana asili ya mchanganyiko.

Hivyo wajue dhahiri jimbo la IGUNGA bado ni mali ya CCM japo kidogo sana CUF wanaweza kuthubutu nao kama watamtumia mtu mwenye asili ya mchanganyiko kwa kuwa ndio moja ya mapungufu [kilema] ya watu wa huko.ILA SIO MBAYA waende wakajaribu kwa kuwa something is better than nothing na hivyo pia watachangia kuwaamsha kizazi kipya kuwa na mwamko japo itachukua muda tofauti na mikoa mingine ambayo watu wenye asili ya mchanganyiko hawako.
 
Back
Top Bottom