Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Waungwana wakati vijana wa vyama vingine wakiwa hoi, Baraza la Vijana la Chadema BAVICHA leo limefungua rasmi ofisi zao zilizopo mtaa wa Togo Kinondoni. Hii ni ishara ya vijana hawa kuendelea kujiimarisha kisawa sawa na hii ni hatua muhimu katika mapambano.
Pongezi za dhati kwa hatua hii BAVICHA.
Pongezi za dhati kwa hatua hii BAVICHA.