only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Rejao the uharo...you need seriously checkup kwenye medula oblongata.....
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Mambo ya misikiti hapa yanatoka wapi? Au utafurahi nikiziita hizo ofisi zenu makanisa...Kinondoni kwenu? umeonyesha utoto wa hali ya juu, nyie ndio matapeli mnaowauzia watu mskiti kwa kudanganya ni nyumba ya urithi.
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Fisadi ni yule anayejilipa mshahara wa m7 net bila kodi na per diem za laki sita kila siku!mbona hamjawachoka hao mafisadi na wezi wa mali za umma
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!
Tunatambua kuwa makao makuu ya CDM yapo Kinondoni. Kama chama makini, na kinachotaka kuwa karibu na wanachama na wananchi wengi zaidi na kupanuka, hawa BAVICHA hawakuwa na sababu ya kujikita Kinondoni tena. Wangeenda maeneo mengine kama ya Ilala au Temeke, kuleta mwamko wa vijana wa kule ili angalao wakiona Ofisi watambue kuwa TZ kuna chama kinachoitwa CDM.Huko ndiko wankoishi walalahoi waliokwapuliwa kila kitu na CCM hivyo kuhitaji chombo kama BAVICHA kuweka ofisi katikati yao, kuishi nao katika raha na shida, na kuwatetea vilivyo.
Hakuna haja kuwa na ofisi kuuubwa katika mitaa ya Wahindi kule Upanga, ofisi za UVCCM, wakati wao wala hakuna anayewakwapulia chochote kile katika maisha haya.
Rejao, hoja ya pili Mkuu...?
Umewachoka wewe na nani.... mkeo??
Kwenu ni pale chimwaga Dodoma na ccm kirumba!
Tunatambua kuwa makao makuu ya CDM yapo Kinondoni. Kama chama makini, na kinachotaka kuwa karibu na wanachama na wananchi wengi zaidi na kupanuka, hawa BAVICHA hawakuwa na sababu ya kujikita Kinondoni tena.
Wangeenda maeneo mengine kama ya Ilala au Temeke, kuleta mwamko wa vijana wa kule ili angalao wakiona Ofisi watambue kuwa TZ kuna chama kinachoitwa CDM.
Jifunzeni kwa CCM kwa kuwa na Tawi na shina kila mahali.
ofisi za chama au jobless corner?
Na hao wengine wawili ni Lema na HecheWana-JF naomba samahani sana kwa niamba ya Mirembe Hospital kwa hili.
Huyu kijana OMR ni kati ya wagonjwa watatu waliotoroka kwenye Rehabilitation (yaani programu maalum ya kuhudumiwa kitaalam ili akili zirejee kama zamani kwa kawaida yake) hivyo kwa usumbufu wowote mtakaouona kama hiyo sentensi hapo chini wenzetu tujifanye kama hatujaiona vile.
BAVICHA hongereni sana kwa kiwango hicho cha maendeleo makubwa ndani ya kipindi kifupi ila tu changamoto ya Rejao tukaifanyie kazi kikweli kweli.
Hapo kwenye wino wa DAMU YA MZEE, jamani tusipuuze kila kitu tu eti ni kwa sababu tu ni Rejao, Ritz au yule Mama FF ndio kasema.
Mhe Heche, Mushi na viongozi wengine BAVICHA, wenzangu nimeona hoja yenye mashiko kwa huyu mtani wetu Rejao na kunifanya nimpe Tano hapo juu (yaani 'LIKE').
Mwee, tutafakari hii hoja ya Rejao jamani eeehh!!!!!!!!
mpaka sahiv walikua hawana ofic.?
ofisi za chama au jobless corner?