Batuli Actress aka Cleopatra Nabisha Hodi

Mara ya mwsho kumeet na ambwene yesaya ilikua lin? Endelea kua mtu mzuri kwani haupo kwenye list ya shigongo.ur couzin
 
wa nigeria wanauza sana online asa kwa kupitia tv na online je amuoni kwamba nanyie mnaweza mkafanya hivo ili kutotegemea tu kuuza kazi zenu through dvd?

Asante ni ushauri mzuri. Hili linategemea pia Distributors na Producer au mwenye kazi. I hope tunaelekea huko sasa.
 
We ndo balozi wa dse? Usibebe sembe umesikia batuli!

Yes. Tunahamasisha SME's zenye mipango mathubuti ya Biashara zijiorodheshe DSE ili kupata Mitaji mikubwa na ya muda mrefu. DSE limeanzisha dirisha la Ujasiliamali linaloitwa "Dirisha la Kukuza Ujasiriamali" yaani "Enterprise Growth Market" window "EGM"..

EGM ni kwa ajili ya makampuni madogo na ya kati, mapya au yanayoendelea kukua lakini yanahitaji mitaji ya muda mrefu. Mipangp Mikakati mizuri ya Kibiashara ni moja ya sifa kubwa ili ukubaliwe kuorodheshwa.

Kuhusu Sembe. Napiga vita na kuichukia biashara hiyo.
 
Yes. Tunahamasisha SME's zenye mipango mathubuti ya Biashara zijiorodheshe DSE ili kupata Mitaji mikubwa na ya muda mrefu. DSE limeanzisha dirisha la Ujasiliamali linaloitwa "Dirisha la Kukuza Ujasiriamali" yaani "Enterprise Growth Market" window "EGM"..

EGM ni kwa ajili ya makampuni madogo na ya kati, mapya au yanayoendelea kukua lakini yanahitaji mitaji ya muda mrefu. Mipangp Mikakati mizuri ya Kibiashara ni moja ya sifa kubwa ili ukubaliwe kuorodheshwa.

Kuhusu Sembe. Napiga vita na kuichukia biashara hiyo.
Kumbe, ingia hio link hapo chini ambayo ipo jukwaa la uchumi na Biashara, na ufunguke kuhusu hio EGM ya DSE. Tahadhari tu uwe flexible kujibu hoja, hapa hoja inajibiwa kwa hoja. Karibu

https://www.jamiiforums.com/busines...hisa-la-dar-es-salaam-dse-watch-itv-live.html

Cc Pasco
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom