stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
Ukiwa kama mtoto wa kitanzania kati
ya haya hujawahi kufanya hata moja?
1. Je hujawahi kujisuguli chupi ukiwa
unaoga badala ya brash?
2. Hujawahi kucheza kibaba au
kimama? 3. Hujawahi kusingizia unaumwa ili
usiende shule?
4. Hujawahi kulilia nguo za sikukuu
wewe?
5. Hujawah kugoma kuoga?
6. Hujawahi kulilia soda ya mgeni? 7. Hujawah jifutia kamasi shati la shule
wakati upo primary?
NAJUA KATI YA HAYA KUNA ZAIDI YA 1
AMBAYO UMEWAHI FANYA. Basi ondoa
shaka wewe ni mtanzania halisi...
ya haya hujawahi kufanya hata moja?
1. Je hujawahi kujisuguli chupi ukiwa
unaoga badala ya brash?
2. Hujawahi kucheza kibaba au
kimama? 3. Hujawahi kusingizia unaumwa ili
usiende shule?
4. Hujawahi kulilia nguo za sikukuu
wewe?
5. Hujawah kugoma kuoga?
6. Hujawahi kulilia soda ya mgeni? 7. Hujawah jifutia kamasi shati la shule
wakati upo primary?
NAJUA KATI YA HAYA KUNA ZAIDI YA 1
AMBAYO UMEWAHI FANYA. Basi ondoa
shaka wewe ni mtanzania halisi...