William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Kama maamuzi hayo ya kuwaacha Saidoo, Onana na Bocco kafanya Benchika basi yupo hapo Simba kuiua.
Kama maamuzi hayo kafanya mo basi mpango wake ni kuiacha Simba mbovu kama aliyoikuta. Lengo ataeichukua aumize kichwa.
Kama maamuzi kafanya try Again na Mangungo basi wametukomesha.
Phiri kaja, kaonesha uwezo kafunga ila akawa anachezea benchi.
Baleke ndio top score. Leo wanapimwa uwezo mapinduzi bila muunganiko mzuri wa timu. Wote hao walifunga kwa muunganiko wa chama na kapombe kwa asist za maana...
Je wamewapimaje? Kulikuwa na saikolojia na utimamu wa akili?
Au walipimwa wakati wamezongwa na kesi, madai na visa na mikasa.
Kira la heri Moses Phiri simba tutakukumbuka sana.
Benchika hakuna atakalofanya zaidi ya kuua kilakitu.
Hiii hiii simba Wangempa Mgunda. Hela za kocha za benchika na usajili wakawapa wachezaji madai yao na motisha. Simba leo ingekuwa mbali mno.
Kama maamuzi hayo kafanya mo basi mpango wake ni kuiacha Simba mbovu kama aliyoikuta. Lengo ataeichukua aumize kichwa.
Kama maamuzi kafanya try Again na Mangungo basi wametukomesha.
Phiri kaja, kaonesha uwezo kafunga ila akawa anachezea benchi.
Baleke ndio top score. Leo wanapimwa uwezo mapinduzi bila muunganiko mzuri wa timu. Wote hao walifunga kwa muunganiko wa chama na kapombe kwa asist za maana...
Je wamewapimaje? Kulikuwa na saikolojia na utimamu wa akili?
Au walipimwa wakati wamezongwa na kesi, madai na visa na mikasa.
Kira la heri Moses Phiri simba tutakukumbuka sana.
Benchika hakuna atakalofanya zaidi ya kuua kilakitu.
Hiii hiii simba Wangempa Mgunda. Hela za kocha za benchika na usajili wakawapa wachezaji madai yao na motisha. Simba leo ingekuwa mbali mno.