TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
kaka, bashe ni manager wa gazeti la rostam#Nilianza kusoma nikajikuta nimesoma yote!
nakupigia ujue nini chanzo
kaka, bashe ni manager wa gazeti la rostam#Nilianza kusoma nikajikuta nimesoma yote!
Mhs Mbunge tafadhari saana kuwa muungwana saidia kijana wa watu kama wengi walivyosema. Kama kweli una huruma na utu mwema, saidi kijana hata kwa kupitia njia zingine mambo yawe shwari, vinginevyo Bashe huyo saizi yako tuko nyuma kusaidia!!!!!!!!!!!!Kweli kabisa ukweli na kukiri kutamuweka huru!!amsaidie yule kijana alieiba jina lake sababu labda ya uwezo!!!!!!
kaka, bashe ni manager wa gazeti la rostam#
nakupigia ujue nini chanzo
Nadhani itakuwa vizuri kujadili hili lililowekwa mezani.Wanajamii sikilizeni kwa makini, haya yamekuja baada ya Hamis kuuliza swali la umeme ambalo Rostam, Bashe na Lowassa ndio Prime member................
Haya yote CCM waliyajua hata kabla ya uchaguzi, alas they didnt realise kwamba Hamis was fighting from within.
Hii yote ni ile vita ya mafisadi na ccm safi
Mtasikia mengi sana, ila kama mnaipenda Tanzania mtanielewa
Hamis amegusa mslahi ya wakubwa wa mafisadi and Bashe is their korokoroni
Nadhani itakuwa vizuri kujadili hili lililowekwa mezani.
kaka, bashe ni manager wa gazeti la rostam#
nakupigia ujue nini chanzo
Nipigie na mimi basi.kaka, bashe ni manager wa gazeti la rostam#
nakupigia ujue nini chanzo
Hapa tuongelee Hoja husika,Majibu mepesi kama haya hayawezi kuhalalisha hii dhuluma aliyofanyiwa yule kijana nakuaribiwa maisha yake kwa ujumla unless kuwe na upotoshaji kwenye hii Issue ila kama ni ukweli yule kijana ndo alipaswa kuwa Dk.fulani na si huyu Jamaa...!Hili swala ni Zito tusilichukulie kiwepesi ivyo Je iv anaweza kweli kulipa fidia?Wanajamii sikilizeni kwa makini, haya yamekuja baada ya Hamis kuuliza swali la umeme ambalo Rostam, Bashe na Lowassa ndio Prime member................
Haya yote CCM waliyajua hata kabla ya uchaguzi, alas they didnt realise kwamba Hamis was fighting from within.
Hii yote ni ile vita ya mafisadi na ccm safi
Mtasikia mengi sana, ila kama mnaipenda Tanzania mtanielewa
Hamis amegusa mslahi ya wakubwa wa mafisadi and Bashe is their korokoroni
mie nimekumbuka vitabu vyetu vya fasihi kuna kimoja kilikuwa chaitwa barua ndefu kama hii na ndio maana nikaifananisha na hii.hahaha... nakumbuka kuna mdau alisema members wengi wa JF ambao ni wavivu kusoma hawawezi mada za kutoka wanabidii ... kule hoja hujibiwa na hoja ..
Wanajamii sikilizeni kwa makini, haya yamekuja baada ya Hamis kuuliza swali la umeme ambalo Rostam, Bashe na Lowassa ndio Prime member................
Haya yote CCM waliyajua hata kabla ya uchaguzi, alas they didnt realise kwamba Hamis was fighting from within.
Hii yote ni ile vita ya mafisadi na ccm safi
Mtasikia mengi sana, ila kama mnaipenda Tanzania mtanielewa
Hamis amegusa mslahi ya wakubwa wa mafisadi and Bashe is their korokoroni