Ahaaa ahaaa Mkuu yaani hii ndio ile inayoitwa dawa ya moto ni motoDuuh!! hii inaitwa UKIMWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA MAUGALI.
Bashe ni Kichwa kumbe!
Huwa namsoma sana kule Wanabidii anachokosea ni kujitapa kwa elimu yake badala ya kujadili hoja anajitapa hadi kwa walimu wake waliomfundisha chuo hilo nililiona wiki moja iliyopita wakati anabishana na watu kule wanabidii i think Hamis Kingwangala has to change immediately otherwise ndio hivi watu wanaanza kumuanika.Mi ni memba wa wanabidii huyu mbunge anachonga sana, na ni mwongo sana na ukweli umejulikana.
Mkuu mimi nafikiri hawa wawili wanajuana wapi walipogusana sasa naona kila mmoja anataka amvue mwenzake nguo ndiyo haya tunayoyaoona sasa hivi.Hamna kitu hapo , Bashe alishinda kura za maoni za ccm kwasababu ya udhamini wa fedha mfadhili wake alizokwapua benki kuu [EPA-KAGODA]; huyu ni crony wa Rostam kwahiyo ushindi huo ni kwasababu ya RA bila ya hivyo Selelii angeshinda. Huyu Kingwangalah ameingia hapo na kushinda kwasababu ya ufisadi uliotumika through WAMA ya mama Kikwete kuiba fedha za STIMULUS package ambayo jamaa aliilamba kwa kuanzisha kampuni ya kununua Pamba.
FJM hayo yanayosemwa kuhusu Kingwangala kuchukua jina la mtu nimeishasikia yakisemwa sehemu nyingi sana sasa mimi mwenyewe i even doubt it kwamba inawezekana ni kweli na huo ukweli anaujua yeye mwenyewe ila jambo likisemwa sana lazima nyuma yake kuna kituWhether huu 'ufunuo' umekuja baada ya Kingwangala kuuliza swali la umeme si hoja kubwa sana hapa cha muhimu je huyu bwana amefanya hayo yaliyoandikwa? Amemkosesha kijana Hamis nafasi yake ya kusoma na sasa Hamis anaishi kwa kubangaiza? Imagine maisha ya kijijini mtu akuchukue haki ya kusoma - there is no life baada ya hapo!
Well ukizowea kula nyama ya mtu utandelea siku zote, hutoacha. Kingwangala amezowea kuishi kwa mgongo wa wengine, kuanzia elimu na sasa ubunge.
Wanajamii sikilizeni kwa makini, haya yamekuja baada ya Hamis kuuliza swali la umeme ambalo Rostam, Bashe na Lowassa ndio Prime member................
Haya yote CCM waliyajua hata kabla ya uchaguzi, alas they didnt realise kwamba Hamis was fighting from within.
Hii yote ni ile vita ya mafisadi na ccm safi
Mtasikia mengi sana, ila kama mnaipenda Tanzania mtanielewa
Hamis amegusa mslahi ya wakubwa wa mafisadi and Bashe is their korokoroni
INGWANGALLAH NI KICHWA HAKUFAULU LAKINI ALIKUWA NAUWEZO WA DARASANI NAKUMBUKA NIKIWA FM 4 ALIKUWA ANANIFUNDISHA BIOS NA CHEMISTRY HE KNEW THE SUBJECT VERY WELL.
wee bashe unshutumiwa sio raia hapa,sioni sababu ya kuingilia sana mambo yetu ya ndani,endelea kufanya biashara kama wasomali wenzako,ipo siku mtaondoka hapa
kaka, bashe ni manager wa gazeti la rostam#
nakupigia ujue nini chanzo
Hizi tuhuma ingekuwa vizuri huyu jamaa akaja hapa kuzijibu maana naona hawa wanajuana vizuri wanavuana nguo hadharaniNipigie na mimi basi, au unitumie PM....LOL
Anyway, nakubaliana na wewe kuwa huyo Bashe inawezekana anafight back kulinda maslahi ya mafisadi, lakini hii haiondoi hizo tuhuma dhidi ya Said Kigwangwala.
Barua ndefu kama hii...
huwezi kuacha, nilitaka kusummarize nikaona kila ninachoondoa ni point.