Tarifa nilizonazo ni kuwa kamati ya utendaji wa Simba inakutana Ijumaa kujadili, pamoja na masuala mengine, mechi yao na yanga. sasa huo uongozi uliomfungia Basena ni uongozi gani? Au kwa kuwa ameondoka kwenda kwao ndo inahesabika kuwa kafukuzwa?Klabu ya simba leo imemfuta kibarua kocha wao Moses Basena baada ya kufungwa na Yanga bao 1 - 0 katika mchezo wa ligi kuu.
Aidha pia Emanuel Okwi na Godfrey Kaburu wamesimamishwa na uongozi huo kwa mda usiojulikana
upuuzi mtupu? Kwahiyo kipimo cha ubora wa kocha ni kufungwa au kufunga yanga?
Tunasubiri....hahahahaha...ila nachojua mm kuwa Kocha Basena..kaenda kwao anadai mama yake mgonjwa(..inawezekana kisingizio)....ila kaburu na Okwi wamekwa kiporo...subiri tucheze mechi kesho ..mtapata jibu kamili
Tunasubiri....
Hiyo ndo soka ya kibongo: ni kudesa kila kitu;Upuuzi mtupu? Kwahiyo kipimo cha ubora wa kocha ni kufungwa au kufunga Yanga?
klabu ya simba leo imemfuta kibarua kocha wao moses basena baada ya kufungwa na yanga bao 1 - 0 katika mchezo wa ligi kuu.
Aidha pia emanuel okwi na godfrey kaburu wamesimamishwa na uongozi huo kwa mda usiojulikana
Basena amejiharibia mwenyewe. Alipanga timu mbovu na fomesheni mbovu. Iwapo angepanga timu vizuri Yeboyebo wangelala mapema sana. Huyo Okwi nasikia ni rafiki sana wa Ridhiwani na amekuwa akimpa pesa nyingi ili anapocheza na Yanga asifunge magoli. Mwenye taarifa zaidi kuhusu huyu dogo atumwagie.
Kwa hali hii mpira wa kibongo hauta kaa ubadilike na kuwa mafanikio,ni mpira wa majungu na ni mpira wa kufikirika.hakuna mafanikio yoyote katika kila jambo kama halitaoanishwa na mipango ya kimaendeleo na kisha kuwa na dhamira ya kweli ya kuitekeleza mipango hiyo.
siku zote watanzania kwenye soka tunawaza ni jambo la kufundishwa leo na kesho upate ushindi.haya mambo ndo yalipelekea kutokuendelea na Maximo kocha ambae alishaamsha ari ya soka kwa wachezaji na washabiki wa soka.lakini kwa sababu ya kufikirika tukaona hatufai.leo Besena kaharibu nini?au kama kipimo cha kujua soka ni kumfunga yanga tu?
Mambo ya kiswahili siku zote silaha yake ni majungu na matokeo ya majungu huwa ni kutokufanikiwa siku zote.nashukuru timu yangu ilishashuka daraja na nimeridhika kabisa,si nyingine ni PAMBA ya mwanza.
Basena amejiharibia mwenyewe. Alipanga timu mbovu na fomesheni mbovu. Iwapo angepanga timu vizuri Yeboyebo wangelala mapema sana. Huyo Okwi nasikia ni rafiki sana wa Ridhiwani na amekuwa akimpa pesa nyingi ili anapocheza na Yanga asifunge magoli. Mwenye taarifa zaidi kuhusu huyu dogo atumwagie.
Basena hajafungiwakuwa mwelewa, kocha haitaji kamati ya utendaji ili afukuzwe kazi haya mwenyekiti peke yake ana uwezo wa kumfukuza, au mwenyekiti wa benchi la ufundi..
Basena kaftukuzwa kazi jana rasmi, hiyo ya mama yake mgonjwa ni danganya toto, kwa nini asingemalizia mechi ya leo na Moro United ndio akaenda kwa mama yake kumuuguza?
kwa nini aondoke yeye na kocha msaidizi wake?
Simba imempa ajira Selemani Matola kama kocha wa simba