mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Barua ya wazi kwa Malkia wa uingereza, MNIRUHUSU niongee nae japo kwa maandishi na najua wale wenzetu kule westminister mtafikisha ujumbe wangu.
Wale wenzetu wanaokimbilia umoja wa mataifa kupeleka matatizo yao nadhani kwetu sio mahala pema ni kwa huyu kiongozi wa dola ya England,
wakati mmoja niliwahi kuwaza sana, kwamba kwa nini tumepata nafasi na hatuitumii? Na kwa nini tuliwaambia wale watu watuachie tuwe huru wakatuachia/ na kwanini tuliwaambia mnatunyanyasa na bado tunanyanyasika/ na vipi tulishangilia uhuru na hatuuoni uhuru wenyewe?
Kwa kifupi sana nielezee kwa nini nataka turejeshwe kwa dola ya malkia wa uingereza kama walivyokuwa wametushilia ili tujue moja kwamba tuko chini yake kuliko kuwa chini ya walaghai waliowalaghai wazungu watuachie kumbe tunaangukia mikononi mwao?
Kabla sijaenda mbali nitoe nafasi kwa wana JF mnipe mwongozo, mawazo yenu, au niache kwa nini tusirudi kwenye ukoloni tuliozoea?
kama mtakumbuka kisiwa cha mayote kilishawahi omba kirudishwe mikononi mwa wafaransa, sitaki kujua kama wamerudi au laa, mimi niko Tanzania na nadhani nitetee nchi na watu wetu..karibuni wana JF
Wale wenzetu wanaokimbilia umoja wa mataifa kupeleka matatizo yao nadhani kwetu sio mahala pema ni kwa huyu kiongozi wa dola ya England,
wakati mmoja niliwahi kuwaza sana, kwamba kwa nini tumepata nafasi na hatuitumii? Na kwa nini tuliwaambia wale watu watuachie tuwe huru wakatuachia/ na kwanini tuliwaambia mnatunyanyasa na bado tunanyanyasika/ na vipi tulishangilia uhuru na hatuuoni uhuru wenyewe?
Kwa kifupi sana nielezee kwa nini nataka turejeshwe kwa dola ya malkia wa uingereza kama walivyokuwa wametushilia ili tujue moja kwamba tuko chini yake kuliko kuwa chini ya walaghai waliowalaghai wazungu watuachie kumbe tunaangukia mikononi mwao?
Kabla sijaenda mbali nitoe nafasi kwa wana JF mnipe mwongozo, mawazo yenu, au niache kwa nini tusirudi kwenye ukoloni tuliozoea?
kama mtakumbuka kisiwa cha mayote kilishawahi omba kirudishwe mikononi mwa wafaransa, sitaki kujua kama wamerudi au laa, mimi niko Tanzania na nadhani nitetee nchi na watu wetu..karibuni wana JF