Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,159
- 10,869
Hatimaye barua halisi ya mmishionari David Livingstone imepatikana tena huku London kwenye mnada mmoja miaka 140 tangu aiandike barua hiyo katika hali ya kukata tamaa.
Alimuandikia rafiki yake Horace Waller akisema ."I am terribly knocked up but this is for your own eye only," "Doubtful if I live to see you again." .Alisoma biblia na kusoma mpaka akaanza kuchanganyikiwa bila dalili yoyote ya kuondokana na kukata kwake tamaa.`Katika hali hiyo aliyokuwa nayo ilibidi aombe msaada kutoka kwa waislamu wanaoitwa wafanyabiashara ya utumwa.Alisaidiwa sana na Tippu Tipu kwa kila hali.
Maandishi yake hayo, kulingana na bibi Debbie Harrison, mtafiti katika chuo kikuu cha Birkbeck University cha London yanamfanya atiliwe shaka katika ushujaa aliotajwa nao.Mwaka 1871 mmishionari huyu alikwama kwenye kijiji cha Bambarre huko Kongo na hatimaye kufariki huko Chitambo katika Zambia ya leo mwaka 1873.
David Livingstone letter deciphered at last - Yahoo! News
Alimuandikia rafiki yake Horace Waller akisema ."I am terribly knocked up but this is for your own eye only," "Doubtful if I live to see you again." .Alisoma biblia na kusoma mpaka akaanza kuchanganyikiwa bila dalili yoyote ya kuondokana na kukata kwake tamaa.`Katika hali hiyo aliyokuwa nayo ilibidi aombe msaada kutoka kwa waislamu wanaoitwa wafanyabiashara ya utumwa.Alisaidiwa sana na Tippu Tipu kwa kila hali.
Maandishi yake hayo, kulingana na bibi Debbie Harrison, mtafiti katika chuo kikuu cha Birkbeck University cha London yanamfanya atiliwe shaka katika ushujaa aliotajwa nao.Mwaka 1871 mmishionari huyu alikwama kwenye kijiji cha Bambarre huko Kongo na hatimaye kufariki huko Chitambo katika Zambia ya leo mwaka 1873.
David Livingstone letter deciphered at last - Yahoo! News