Barua ya Jecha imekosa muhuri wa ZEC

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Ijulikane wazi kuwa mwaka huu CCM wanatembea uchi ,katika mazingira ya kutatanisha Jecha Pakacha ameonekana kutoa tangazo mafichoni na kusomwa na TVZ.

Wachunguzi wa mambo wanasema kwa vile ile barua(Tangazo) ni official Document ni lazima ilitakiwa iwe na mihuri ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC ,jambo ambalo haikuonekana wanaoyajua mambo wamenena ilitayarishwa na wahafidhina wa CCM na kilichowashinda ni kuipata mihuri ya ZEC,kwani hili si uamuzi wa ZEc.

Na jingine mara zote ZEC au NEC wanapotoa tangazo huwepo katika meza iliyo na washiriki wa TUME iwe watatu au zaidi kwa tangazo hili hamna kitu,ni Jecha akiwa mbele ya pazia kwa maana yupo chini ya mtutu wa kiongozi na mkuu wa vikosi vya SMZ.

CCM wametayarisha barua na kumpa Jecha aweke saini wakighafilika juu ya mhuri na uwakilishaji wa barua jambo ambalo linazidi kuwaumbua.

Jecha hakuisoma barua hio ndani ya vituo vya TVZ wala kwenye ofisi za ZEC wapi aliisoma na kurekodiwa CCM wanajua zaidi.

Ukweli utazidi kuja juu na dhuma kuwepo kando,wahafidhina wanaendelea kuitumbukiza nchi kwenye balaa kwa matamanio ya kidunia .

Nina uhakika CUF hawatoshiriki uchaguzi huu na hilo wanaliweza kabisa naona tarehe hio ndio itakuwa tarehe ya maandamano kwa nchi nzima.
jecha1.jpg
 
Uchaguzi ni tarehe 20 machi...mwenye kupendwa na wazanzibari ndiye atakayechaguliwa na kutangazwa mshindi !
 
Hii damu ccm wanataka kumwaga kwa uchu tu wa madaraka itawa cost sana nawashauri wafikirie mara mbili mbili things has changed, watu wamebadilika fikra, uvumilivu, na hali ya kudhubutu
 
Ya Burundi yanakuja kama hili jambo lisipopata utatuzi wa haraka ,wako wapi wasomi na wanasheria juu ya suala zima la kufutwa uchaguzi wa Zanzibar, lazima tutambue kuna ukiukwaji mkubwa wa Katiba katika hili suala ni vizuri Asasi zote za kiraia zijitokeze kupinga haya yanayoendelea kule visiwani, weledi utumike tuache kupuuza mambo ya msingi yanayolalamikiwa kule visiwani ,au mnasubiri mpaka mambo yaharibike mpate sababu wakati chanzo kinafahamika jinsi mlivyoipora demokrasia kwa mihemko yenu ya kisiasa.
 
Ijulikane wazi kuwa mwaka huu CCM wanatembea uchi ,katika mazingira ya kutatanisha Jecha Pakacha ameonekana kutoa tangazo mafichoni na kusomwa na TVZ.

Wachunguzi wa mambo wanasema kwa vile ile barua(Tangazo) ni official Document ni lazima ilitakiwa iwe na mihuri ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC ,jambo ambalo haikuonekana wanaoyajua mambo wamenena ilitayarishwa na wahafidhina wa CCM na kilichowashinda ni kuipata mihuri ya ZEC,kwani hili si uamuzi wa ZEc.

Na jingine mara zote ZEC au NEC wanapotoa tangazo huwepo katika meza iliyo na washiriki wa TUME iwe watatu au zaidi kwa tangazo hili hamna kitu,ni Jecha akiwa mbele ya pazia kwa maana yupo chini ya mtutu wa kiongozi na mkuu wa vikosi vya SMZ.
CCM wametayarisha barua na kumpa Jecha aweke saini wakighafilika juu ya mhuri na uwakilishaji wa barua jambo ambalo linazidi kuwaumbua.
Jecha hakuisoma barua hio ndani ya vituo vya TVZ wala kwenye ofisi za ZEC wapi aliisoma na kurekodiwa CCM wanajua zaidi.
Ukweli utazidi kuja juu na dhuma kuwepo kando,wahafidhina wanaendelea kuitumbukiza nchi kwenye balaa kwa matamanio ya kidunia .
Nina uhakika CUF hawatoshiriki uchaguzi huu na hilo wanaliweza kabisa naona tarehe hio ndio itakuwa tarehe ya maandamano kwa nchi nzima.
Nilimshangaa Jecha akisema tume imepanga tareh ya kurudiwa kwa kura huku akiwa mwenyewe. Sasa kama ni lazima CCM iongoze ni kwa nini kuna vyama vya upinzani? Hawa watu ni wasahaulifu sana. Kabla ya SUK waliisha maisha ya kuviziana, visima na shule kutiwa vinyesi na hata kushindwa kuzikana. Hilo wamelisahau na sasa wanaukataa uhuru na kutaka kulindwa na majeshi. Kwa nini lakini? Wananchi wanachotaka ni maendeleo pasipi kujali nani kawaletea. Jamani, where is justice?
 
Hakuna la kushangaza hapa upande mmoja chaguzi za haki ni pale wanapokuwa na alama zaidi ya wenzao na sivinginevyo,nani alikwambia Serikali za Tanzania ( Tanganyika na Zanzibar) zipo tiyari kukabidhi madaraka kwa upinzani hata wapinzani wangeshinda kwa alama 99%? Tulieni tu katika hali hiyo labda miaka 50 ijayo tutakuwa na muungano wa Afrika serikali mmoja raisi mmoja.Kumwaga damu sio suruhisho.
 
Sisi wa ujamaa wa kidemokrasia tulipendekeza interim Technocratic government....tukatukanwa na pande zote mbili.

Shida ya Zanzibar ni ccm na cuf kuona wao ndio Alfa na omega.....

Na dhana hii imeanza kuingia hata huku kwetu tanganyika .....kwamba ccm na cdm kuona wao ndio Alfa na omega....

Hili pia lilijitokeza hata katika BMK pale wanasiasa wa vyama tajwa hapo juu kuhodhi kila kitu katika ule mchakato.......matokeo yake tumeyaona......wanasiasa nchi hii wamegeuka miungu watu.....wanafikiri kwa niaba yetu........wanafikiri hatuna akili

Fuatilia kwa umakini haya mambo... utagundua kuwa wananchi wasio wafuasi wa siasa ( ambao ndio wengi) wamegeuka watoto wa kambo......hawana sauti
 
Ijulikane wazi kuwa mwaka huu CCM wanatembea uchi ,katika mazingira ya kutatanisha Jecha Pakacha ameonekana kutoa tangazo mafichoni na kusomwa na TVZ.

Wachunguzi wa mambo wanasema kwa vile ile barua(Tangazo) ni official Document ni lazima ilitakiwa iwe na mihuri ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC ,jambo ambalo haikuonekana wanaoyajua mambo wamenena ilitayarishwa na wahafidhina wa CCM na kilichowashinda ni kuipata mihuri ya ZEC,kwani hili si uamuzi wa ZEc.

Na jingine mara zote ZEC au NEC wanapotoa tangazo huwepo katika meza iliyo na washiriki wa TUME iwe watatu au zaidi kwa tangazo hili hamna kitu,ni Jecha akiwa mbele ya pazia kwa maana yupo chini ya mtutu wa kiongozi na mkuu wa vikosi vya SMZ.
CCM wametayarisha barua na kumpa Jecha aweke saini wakighafilika juu ya mhuri na uwakilishaji wa barua jambo ambalo linazidi kuwaumbua.
Jecha hakuisoma barua hio ndani ya vituo vya TVZ wala kwenye ofisi za ZEC wapi aliisoma na kurekodiwa CCM wanajua zaidi.
Ukweli utazidi kuja juu na dhuma kuwepo kando,wahafidhina wanaendelea kuitumbukiza nchi kwenye balaa kwa matamanio ya kidunia .
Nina uhakika CUF hawatoshiriki uchaguzi huu na hilo wanaliweza kabisa naona tarehe hio ndio itakuwa tarehe ya maandamano kwa nchi nzima.
Nchi nzima na wapi??wakaandamane wenyewe huko sie tushamaliza uchaguzi!
 
Back
Top Bottom