akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
umesahau na kule kwetu sisi wamachinga,tunampenda sana.watu wanasema eti hatujafumbua macho, hivi kweli kufumbua macho ni kule kupotoshwa na wale wajinga wa kuandamana? Kikwete analipa,anakubalika ndani na nje,mtu wa watu.watachonga sana fainali ni 2015. Wasubiri zamu yao.miaka 100 si mingi
Mhhhh! hivi huyu mtanzania unayemuita mjinga ni yupi?, watu wanapigwa risasi lakini bado hawaachi kuandamana kwa ajili ya haki zao, hupati somo bado!!! naomba niishie hapo maana chochote nitakachoandika zaidi ya hapa nitafungiwa tena....kha!!!