luten ni ushauri mzuri sana.Naamini CDM kuna wasomi wengi wa watu wenye mapenzi na chama pia na wazee wenye busara.maamuzi yoyote watakayo fanya naamini yatakuwa sahii.Hata kama Lewa akiwekewa pingamizi la kutogombea anaweza gombea Slaa.naanini SLaa na Lema wanavaliana viatu,Lema anaweza fanya kazi anayofanya Dr sasaivi ya kujenga chama, natumaini ni wakati mzuri sasa kwa vijana kuanza kujitetgemea na kujifunza.ndani ya chaaaadema kila mtu ni jembe.chadema ilinza na Mungu na tutakuwa na Mungu siku zote.KUMPIGA CHURA TEKE NI KUMUONGNEZEA SPEED.PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS.......................