GIFT P SANGA
Member
- Jul 5, 2012
- 5
- 1
jamani namkumbuka mkurugenzi CO wa baclays aliwahi tamka kuwa anataka akiwa angani kwa ndege aone Tanzania yote inashaini kwa rangi ya blue bahari,yaani matawi yameenea kila kona.Yeye alidhani matawi mengi ndo jibu.
Tena wanaongoza kwa POS na Macontainer kibaao ...........This is Tanzania Mhe.CO this is not Europe!!!
Tena wanaongoza kwa POS na Macontainer kibaao ...........This is Tanzania Mhe.CO this is not Europe!!!