Bila mama haiwezekani, naomba mjitokeze mnawezaa na kuendelea kushika magamba yanayokwanyuka moja baada ya jingine mnapotea hakutakuwa na wanamama? ukombozi umeanza kuonekana mbona Mama Salif aliweza kudai uhuru akapewa? Chonde chonde karibu na muoneshe uhai.
ndo utofauti wa ujasiri unapoonekana. Kuna wabunge viti maalumu zaidi ya 20 lakini nashangaa wapo kimya kabisa huku wakiona wamama wenzao wanavyopata shida mahospitali,maji hakuna! Toeni elimu bawacha! Wamama wengi vijijini wanahitaji ukombozi,wanahitaji kushirikishwa. Msiishie kula posho tu!
Hakuna sababu ya kuwa na Baraza la Wanawake Chadema; hata Baraza la Vijana liwe kimya hivyo lisichukue madaraka maka la ccm haya ni mambo ya Ucommunist na CCM ni Capitalist
Tuachane na Upuuzi huo Chama ni Chama hakina Umoja wa Vijana wala Baraza la Wanawake kwa Ucommunist huo ulikuwa ni kunyamazisha baadhi na pia ulaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.