Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Baada ya Rais JK kuunda baraza jipya (kumodify) la mawaziri nashauri Mbowe aunde baraza jipya la Mawaziri Kivuli ambalo litaendana na aina ya Mawaziri watako teuliwa - kiuwezo
Pia nashauri achanganye na wabunge wa vyama vingine vya siasa (vya upinzani) ili kutimiza ahadi yake aliyo itoa siku anatangaza baraza lililopo sasa.
Pia nashauri achanganye na wabunge wa vyama vingine vya siasa (vya upinzani) ili kutimiza ahadi yake aliyo itoa siku anatangaza baraza lililopo sasa.