SUPERXAVERY
Member
- Sep 5, 2012
- 80
- 9
Kumbe askari nao ni Chadema nilikuwa sijajua hilo
Polisi kazi yao ni kuzuia uhalifu, na uhalifu ni kitendo chochote kilichozuiliwa kisheria kutendwa. Kazi ya cdm na wafuasi wake ni kujitungia sheria zao na kutoa hukumu wao wenyewe.
Polisi wanapokuja kuzuia mikutano ya aina hiyo, waathirika ni wasiojua sheria, maamuma cdm.