Shigela ni microbes wasabishao shigelosis ni u.h.a.r.o. so msishangae kuona yatokayo kwa huyo mduduKama Shigela ndo anaonekana ana akili kubwa na kuongoza vijana wa CCM hao wanaoongozwa wakoje? TAFAKARI
Huko sawa kabisa tumesahau na ubini wake (Shigella Boydii)Shigela ni microbes wasabishao shigelosis ni u.h.a.r.o. so msishangae kuona yatokayo kwa huyo mdudu
CCM wana Polisi, fedha, TSS,Jeshi ila CDM wana MUNGU Kwa hiyo inabidi ujue nani mkubwa hapo.Kwa tukio la Iringa CDM mnapaswa kumshukuru Mungu kwa kubadili mipango ya kishetani iliyokuwa imepangwa na CCM vinginevyo kwa sasa tungekuwa tunaongea habari nyingine na katika hili CDM hamkuwa na ujanja na kiukweli hii ilikuwa imepangwa vizuri na ilivyoharibika naamini CCM sasa watalazimika kujipanga upya. Kuhusu UVCCM kama hao ndiyo nguvu ya chama basi CCM ilishajifia.
UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), wamemaliza kikao cha baraza la umoja huo ambapo wamejadili ajenda mbalimbali za msingi kuhusu Uchaguzi na pia wamejadili juu ya hali ya siasa nchini na mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa amani na mauaji, ambapo wamekinyooshea kidole Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuwa vinara wa matukio ya mauaji, kitu ambacho ni hatari kwa Taifa.
achana na Chadema we dada, tuambie nani mmewakata panga kugombea huko UVCCM
nivyema ukawa wazi unamaanisha nani dada
UVCCM au Umoja wa Vihiyo wa Chama Cha Mafisadi hauna lolote zaidi ya kuhitaji ukombozi. Kwa zaidi ya miongo mitano wamekuwa wanatumika kama nepi za wazee. Badala ya kushinikiza kuwepo wagombea vijana, wao wanaimba upuuzi ule ule kama wimbo wa jogoo. Ajabu tunaambiwa wengine wamesoma ingawa hawajaelimika. Huu haukuwa mkutano bali kigwena na umbea na kupanga dili za kuchakachua uchaguzi na kuiba pesa kwenye mabenki na kuingia mikataba ya kijambazi kupata pesa ya uchaguzi ukiachia
umeliona siyo
Kumbe askari nao ni Chadema nilikuwa sijajua hilo