Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
JF imekuwa ya porojo sasa! Inaudhi mno hawa member!
Source yako ndiyo inatisha!!!!
kweli jk imekuwa porojo...!JK imekuwa ya porojo sasa! Inaudhi mno hawa member!
Bana ebu kuweni serious bana hii ni kweli?
hivi kwanini mawaziri wa zamani warudishwe tena wizarani...si wameiba vya kutosha wawaachie na wengine nao wajenge mahekalu...eeh kutesa kwa zamu jamani:smile-big:
Kuliko kumpa Migiro wizara ya Fedha bora hata wampe Mzee wa Mapete Makubwa- Nasera Hotel MorogoroIpo kazi kati ya wakuu wetu hawa wawili. kuna majina ya wateule watatu JK amelazimisha wawepo ndani ya baraza. Pinda amegoma kwa kuwa ni mizigo kwa Taifa. JK ameahirisha zoezi kwa muda apate muda wa ku digest hao aliopendekeza mtoto wa mkulima. Mizengwe Pindu amechoka na anaweza kuleta seke seke kama Mkuu atalazimisha.
1. Mkulo - aendelee lkn Afrika mashariki
2. Zakhia -wnawake Jinsia na watoto (ustawi wa jamii)
3. Migiro - Fedha (Pinda amepinga kupewa wizara nyeti)
Majadiliano yao yataendelea baada ya late siesta. Kuna mshauri wake JK anampeleka anakotaka. Pinda anazidi kuwa mbogo. amechoka kupelekwa kama mbuzi wa mnadani!
Source: RIZ 1 - State House
JK imekuwa ya porojo sasa! Inaudhi mno hawa member!
Kamanda JF huwa member hawanaga mambo ya kiaina ni 85% hili laweza likawa true!
Piga kimya wadau watakuja na news zaidi!
sijawahi kuona watu wasio na vichwa wanavyopasua vichwa vya watu wenye vichwa.
Ipo kazi kati ya wakuu wetu hawa wawili. kuna majina ya wateule watatu JK amelazimisha wawepo ndani ya baraza. Pinda amegoma kwa kuwa ni mizigo kwa Taifa. JK ameahirisha zoezi kwa muda apate muda wa ku digest hao aliopendekeza mtoto wa mkulima. Mizengwe Pindu amechoka na anaweza kuleta seke seke kama Mkuu atalazimisha.
1. Mkulo - aendelee lkn Afrika mashariki
2. Zakhia -wnawake Jinsia na watoto (ustawi wa jamii)
3. Migiro - Fedha (Pinda amepinga kupewa wizara nyeti)
Majadiliano yao yataendelea baada ya late siesta. Kuna mshauri wake JK anampeleka anakotaka. Pinda anazidi kuwa mbogo. amechoka kupelekwa kama mbuzi wa mnadani!
Source: RIZ 1 - State House