Mimi Nimekubaliana na kikwete kwa hawa
Mathayo David Msuya : Mifugo na Uvuvi
see his CV David Mathayo David - Wikipedia, the free encyclopedia hapa taaluma itamsaidia kuinua hali ya wafugaji
Membe :
Profesa Mnyaa
he is a technocrat in perspective of that post
Wizara ya ardhi, Nyumba na Makazi :
Prof Tibaijuka, this will bring her experiece from UN on the same
Ngereja
He did good job last term
Magufu + Makyembe
hakuna mikataba ya ovyo any more na hakuna uzembe wa makandarasi any more , Hapa safi saaaana
Maghembe
Anaenda kutumia taaluma yake sasa kule kilimo
Maji
Mwandosys did a good job last term
mimi hao tu ndio nimekubali
Wizara nyeti ni :
1. Wizara ya Fedha
2. Wizara ya Ulinzi
3. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi
4. Ofisi ya Raisi Utumishi.
Hizi mnaona zimekaaje?
Wizara nyeti ni :
1. Wizara ya Fedha
2. Wizara ya Ulinzi
3. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya ufundi
4. Ofisi ya Raisi Utumishi.
Hizi mnaona zimekaaje?
Mawaziri ni 29,
Manaibu Waziri 21.
Jumla ni 50!
Duh!
Huyu simba mie sijui mkwere anampendea nini?
MOD huyo kichogo huwa mnamwogopea nini? Kwanini asile BAN indefinitely?
Hongera Sophia Simba nimekukubali waliao na wAlie uwaziri umepata....