Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Alikuwa mkweli katika hilo la kumkumbuka. Yapo kadhaa ya kumkumbuka;Alisema mtamkumbuka naona akili zimeanza kuwarudia vichwani mwenu sasa..!!
- Ujenzi wa stand za mabasi,
- Mji wa serikali Dodoma,
- Kukopa huku akidanganya kuwa ni pesa za ndani,
- Kukatiza maisha ya wapinzani wake,
- Kupanga kuondoa maisha ya mbunge akashindwa akaishia kumpa ulemavu na mateso makali,
- Ukabila na ukanda.
Na kadhalika!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app