Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Wana jamii JF, tuchangie hii hoja ya utekelezaji wa barabara ya Kilwa(Kilwa Rd).
Mfadhili wa barabara hii ni serikali ya Japan na mjenzi ni kampuni ya Kajima.
Tofauti na sifa nzuri za kampuni za kijapani kampuni hii ya Kajima imejenga barabara ambayo sasa hivi imeshaanza kuharibika.Kuna kuvimba katika sehemu mbali mbali za barabara hii.
Miundombinu ya maji ni duni kabisa au haipo.
Ukilinganisha na kazi iliyofanyika na kampuni ya Konoike zaidi ya miaka 10 iliyopita wadau tuna wasiwasi kama barabara hii itadumu zaidi ya miaka 5.
Imekaaje wadau hasa wanaoitumia barabara hii kila siku?
Mfadhili wa barabara hii ni serikali ya Japan na mjenzi ni kampuni ya Kajima.
Tofauti na sifa nzuri za kampuni za kijapani kampuni hii ya Kajima imejenga barabara ambayo sasa hivi imeshaanza kuharibika.Kuna kuvimba katika sehemu mbali mbali za barabara hii.
Miundombinu ya maji ni duni kabisa au haipo.
Ukilinganisha na kazi iliyofanyika na kampuni ya Konoike zaidi ya miaka 10 iliyopita wadau tuna wasiwasi kama barabara hii itadumu zaidi ya miaka 5.
Imekaaje wadau hasa wanaoitumia barabara hii kila siku?