Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Wa kushukuriwa ni Lowassa

Nadhani sasa tugange tunako kwenda. Ndugu zangu wabunge wa CCM na wale wa Upinzani. Magufuli na waziri mkuu wametufungulia njia ya mabadiliko. Ni matumaini yangu hoja zetu bungeni zitaendana na matakwa ya wananchi. Tusahau yaliyopita. Tuungane katika hoja za maendeleo. Tusifumbie macho uongo na hujuma za kimaendeleo. Tuweke pembeni ndio mzee za kichama. Kumbukeni kwamba posho zetu na safari zetu za nje zimetoweka. Hasira zetu sasa tuzielekeze kwa wale wenye kusua sua katika kuleta maendeleo. Tuwawajibishe wale wote wenye kuhujumu uchumi wa nchi hii. Tusikubali kupokea rushwa na kukaa kimya pale tunapoona sheria za nchi zinapindishwa. Tufuatilie miradi ya maendeleo na kukemea pale tunapoona viongozi wetu wameshindwa kuwajibika. Tanzania tuna weza na kubadilika ni wajibu wetu kwa manufaa ya Taifa.
 
VUTA-NKUVUTE, ni mapema mno kusema lolote, ni mapema mno kusema tumepata raisi tuliemhitaji, naona hata media sana wanaanza kumbeba mheshimiwa raisi, bado, JK nae alianza kwa kasi hii hii, usishangae pumzi ikakata mapema kuliko hata JK!

I agree. But, I hope as I said

Mzee Tupatupa
 
hebu wataalam wa uchumi wanifahamishe
uchumi wa nchi je unakuzwa kwa kubana matumizi ama kwa kufungua mianya mingi ya kuingiza pato ikiwemo pato la kigeni?
kwa mfano:

nyumbani wazazi huwa wanatumia hela kwa uangalifu huku wakiwa wanatafuta mbinu mbadala za kukuza kipato manake with time matumizi na gharama za maisha huwa zinapanda.

je katika uchumi wa taifa hili limekaaje?

Kwanza bana matumizi bila ya hivyo hata ukiongeza kipato kitapotea tu na kujikuta mfuko hauna kitu, it's simple usimsubiri mwana uchumi, anza wewe mwenyewe kubana matumizi yako, uwone mabadiliko.
 
Pia ikumbukwe Lowassa ndiye aliesababisha Magufili ateuliwe kuipeperusha Bendera ya CCM baada ya EL kukatwa na wanachama wenye hasira Kali wakaamua kumpa kura zao Magufuli badala ya Membe
 
Mzee Tupa Tupa nahisi una maumivu ya kushindwa kwa Lowassa, hivyo unajipoza kwa `eti Magufuli anakopi na kupesti aliyoyataka Lowassa`.
Magufuli anajulikana kwa hulka yake ya kiuchapakazi, KUCHUKIA NA KUKEMEA RUSHWA NA UFISADI na haya yote ni tangu alipokuwa waziri ktk wizara mbalimbali. Sasa unaposema Lowassa alichora rais wa kariba ya Magufuli ikiwa Lowassa huyu anasifika kwa RUSHWA NA UFISADI basi ni wazi kuwa MZEE TUPA TUPA UNACHEMBE CHEMBE ZA UNAFKI NA CHUKI.

alete katiba ya waryoba kama kwel anapinga ufisad
 
Enyi kizazi cha ngano! Eleweni kuwa Watanzania hawako interested na katiba mpya na ndo maana hawakuichagua UKAWA!

Wewe kenge unaamini kabisa Watanzania walimchagua huyo Magu wako na lichama lenu?
Acha hizo basi,tumia akili katika arguments zako bwana.
Uko vizuri upstairs lakini when it comes to CCM unakuwa zaidi ya mburula ambaye hata shule hajaenda.
 
Wewe mnafiki si ulisema mabadiliko hayawezi kutokea ndani ya CCM? Leo unarudi kinyumenyume....inaonekana kile kidawati chako cha pale ufipa kimeanza kukuchosha







wewe alokwambia Dr MAGUFULI ni wa CCM ni nini ?
kusoma hujui ,picha pia huoni ?
wakati wa Campaign alijinadi chagua Magufuli sio CCM una mahaba na genge hilo la wezi .
mtaisoma namba CHAPA YA N'GOMBE hiyo
 
Hata tukikumbuka zile sarakasi kule Dodoma Kama sio lowasa magufuli asingekua rais na hata hatua anazochukua ni yale ambayo lowasa alikua anaubiri, mfano akuna kwenye kampeni za magufuli alipowahi taja swala la kubana matumizi na kupunguza safari pamoja na kutokubali wakwepa kodi, lakini hayo ndo yalikua mahubiri ya lowasa kwa kweli bila lowasa rais angekuwa membe.
 
mfuate monduli umshukuru...sie tumeishamshukuru mungu kwa kutupa magufuli...
 
Mie nina support hoja from the creation of Magufuli into the presidency. Kwamba, ni kweli nguvu kubwa ya Lowassa kuutaka urais ndani ya CCM, ndio ilimuibua Magufuli, kama salvage ya chama kugawanyika na kuingia mikononi mwa "Kundi" lisilo faa. Ndio Maana marais wastaafu, kwa kuongozwa na "divine intervention" lakini kibinadamu tutaiita "hekima zao", iliwalazimu kubadilisha upepo na kumpendekeza Magufuli.

Ilipo onekana kuwa ni wazi kabisa mpango ulikuwa ni kumpitisha Membe, Lowassa akaliagiza kundi lake kuhakikisha kuwa Magufuli anapigiwa kura zote ili scheme ya JK isifanikiwe kwa kuwapiga chini Membe na January Makamba. So at this stage, who made Magufuli to become the candidate within CCM ni Lowassa aliyelazimisha wafuasi wake kuhakikisha wanamchagua a less evil and may be in his thinking "the weakest link".

Kama ni karata, then wale marais wastaafu, waliliona hili na wakagundua kuwa jazba ya kundi la Lowassa lisingeruhusu the favorites wa JK kupita, maana pressure ya kundi la Lowassa ndani ya Halmashauri kuu ilikuwa ni kubwa mno.

To conclude, yes katika designing ya Magufuli ndani ya CCM, ashukuriwe lowassa, kwa kuwaomba watu wake wote ndani ya Halmashauri Kuu kuhakikisha Magufuli ndiye anapita. Na baada ya kufanikisha hilo, walishangilia ushindi wa Magufuli, wakijua "wote wamekosa"

Baada ya Magufuli kupitishwa kuwa mgombea wa urais kupitia CCM, pressure kubwa ilitoka kwa wananchi, asije imba mabadiliko asingepita, maana watu wamechoka. Na Magufuli alishauriwa kujinadi mwenyewe zaidi kuliko chama, kwasababu watu walishakosa imani na chama, kwa sababu ya ahadi hewa za miaka nenda miaka rudi, he was a brand of himself, and it worked.


KWa kuwa si mnafiki kama anavyokiri mwenyewe, na miaka 20 akiwa Waziri imempa uzoefu wa jinsi wengi wa wanasiasa na watendaji serikalini walivyo wanafiki na goi goi katika kufanya maamuzi, sio tu amegundua jinsi wananchi wasivyoiamini CCM, bali amegundua kuwa kuyafanyia kazi matakwa ya wananchi ndio mtaji wake wa uhakika, ni kweli yawezekana vyama vingine viliyaona siku nyingi, but for now it is a common interest, people wins, not political parties.

Tumpe muda, kilichobaki ni ku unify wananchi na kuleta siasa safi, ili tuwe na siasa zenye hoja mbadala na sio hizi zinazojikita zaidi kwenye integrity ya mfumo na watu wanaousimamia mfumo huo.
 
Wa kumshukuru ni mwenyezi mungu kwa kutuletea magufuli na sio lowassa.
Mwenyezi mungu alimwonyesha njia rahisi bila kutumia rushwa ambayo chama na wananchi walimkubali na ndiye akashinda.
Mwenyezi mungu aliwachanganya wakina lowassa na membe kwa rushwa zao wakachanganyikiwa kama wale wajenzi wa mnara wa babel.
Mwenyezi mungu alimlinda magufuli kwa kila hatua kuanzia mchakato wa kutafuta wadhamini
Naamini hakuna binadamu yeyote aliyekuwa anajua magufuli atapenya na kufika hapa.
 
hata tukikumbuka zile sarakasi kule dodoma kama sio lowasa magufuli asingekua rais na hata hatua anazochukua ni yale ambayo lowasa alikua anaubiri, mfano akuna kwenye kampeni za magufuli alipowahi taja swala la kubana matumizi na kupunguza safari pamoja na kutokubali wakwepa kodi, lakini hayo ndo yalikua mahubiri ya lowasa kwa kweli bila lowasa rais angekuwa membe.

wewe inaelekea hujawahi kumsikiliza jpm wakati wa kampeni! Huyo lowassa alihubiri muda gani wakati alikuwa anahutubia dakika 5 tu bila kutaja hata neno fisadi wala kodi! Yeye alihubiri kumuachia babu seya na uamsho tu! Nyumbu wakawa wanazungusha mikono!!! Kituko!
 
Hata tukikumbuka zile sarakasi kule Dodoma Kama sio lowasa magufuli asingekua rais na hata hatua anazochukua ni yale ambayo lowasa alikua anaubiri, mfano akuna kwenye kampeni za magufuli alipowahi taja swala la kubana matumizi na kupunguza safari pamoja na kutokubali wakwepa kodi, lakini hayo ndo yalikua mahubiri ya lowasa kwa kweli bila lowasa rais angekuwa membe.

cc DuppyConqueror
Kama na huyu pia hujamuelewa basi tena.
 
Last edited by a moderator:
Mie nina support hoja from the creation of Magufuli into the presidency. Kwamba, ni kweli nguvu kubwa ya Lowassa kuutaka urais ndani ya CCM, ndio ilimuibua Magufuli, kama salvage ya chama kugawanyika na kuingia mikononi mwa "Kundi" lisilo faa. Ndio Maana marais wastaafu, kwa kuongozwa na "divine intervention" lakini kibinadamu tutaiita "hekima zao", iliwalazimu kubadilisha upepo na kumpendekeza Magufuli.

Ilipo onekana kuwa ni wazi kabisa mpango ulikuwa ni kumpitisha Membe, Lowassa akaliagiza kundi lake kuhakikisha kuwa Magufuli anapigiwa kura zote ili scheme ya JK isifanikiwe kwa kuwapiga chini Membe na January Makamba. So at this stage, who made Magufuli to become the candidate within CCM ni Lowassa aliyelazimisha wafuasi wake kuhakikisha wanamchagua a less evil and may be in his thinking "the weakest link".

Kama ni karata, then wale marais wastaafu, waliliona hili na wakagundua kuwa jazba ya kundi la Lowassa lisingeruhusu the favorites wa JK kupita, maana pressure ya kundi la Lowassa ndani ya Halmashauri kuu ilikuwa ni kubwa mno.

To conclude, yes katika designing ya Magufuli ndani ya CCM, ashukuriwe lowassa, kwa kuwaomba watu wake wote ndani ya Halmashauri Kuu kuhakikisha Magufuli ndiye anapita. Na baada ya kufanikisha hilo, walishangilia ushindi wa Magufuli, wakijua "wote wamekosa"

Baada ya Magufuli kupitishwa kuwa mgombea wa urais kupitia CCM, pressure kubwa ilitoka kwa wananchi, asije imba mabadiliko asingepita, maana watu wamechoka. Na Magufuli alishauriwa kujinadi mwenyewe zaidi kuliko chama, kwasababu watu walishakosa imani na chama, kwa sababu ya ahadi hewa za miaka nenda miaka rudi, he was a brand of himself, and it worked.


KWa kuwa si mnafiki kama anavyokiri mwenyewe, na miaka 20 akiwa Waziri imempa uzoefu wa jinsi wengi wa wanasiasa na watendaji serikalini walivyo wanafiki na goi goi katika kufanya maamuzi, sio tu amegundua jinsi wananchi wasivyoiamini CCM, bali amegundua kuwa kuyafanyia kazi matakwa ya wananchi ndio mtaji wake wa uhakika, ni kweli yawezekana vyama vingine viliyaona siku nyingi, but for now it is a common interest, people wins, not political parties.

Tumpe muda, kilichobaki ni ku unify wananchi na kuleta siasa safi, ili tuwe na siasa zenye hoja mbadala na sio hizi zinazojikita zaidi kwenye integrity ya mfumo na watu wanaousimamia mfumo huo.
Mnyoofu mkuu umeongea vema sana. Jana kuna mahala niliandika, ni wakati sasa wanasiasa hawa kuangalia common interest, ambayo kwa sasa ni Taifa kwanza vyama baadaye. Ni wakati wa hawa wanasiasa kunoa mbongo zao haswaa ili kuhakikisha wana-win wananchi kwa hoja za kitaifa na maslahi ya Taifa zaidi ya vyama.
Nangoja pia kwa hamu sana bunge lijalo, namna gani zile ndiyoooooo kwa kila jambo zitapungua na kusimamia ukweli na common interest, maana kiongozi mkuu ameshaonyesha kusimamia maslahi ya wananchi kwanza mambo ya chama baadaye.
Hata upande wa pili wa wapinzani, nao pia wanatakiwa kunoa mbongo haswaa ili kuendelea ku-survive, si muda wa kutegemea makosa ya serikali na chama tawala, mkuu ameshaamua ku-deal na yote yaliyokuwa "mtaji" wa wapinzani, (kero) za wananchi. Ni muda wa kufanya siasa "kubwa" zaidi, sio zile za uana harakati, si muda wake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom