Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Rostam Aziz anadaiwa kumiliki Hisa ndani ya kampuni iitwayo VODACOM,Sasa nashangaa leo kuona Vodacom inaanza kutumiwa na CDM kuchangisha fedha za chama kwa ajili ya safari mikoa ya kusini!Naogopa kwa sababu nadhani isije ikawa unakataa kula kinyesi halafu unakula wadudu walao kinyesi.
Chadema haihitaji hata senti tano yako wewe, mkeo, babako na wengine wote wanaokuunga mkono. Gamba zito wewe! Chadema itachangiwa na sisi tunaohitaji mabadiliko Tanzania. M4C
Rostam Aziz anadaiwa kumiliki Hisa ndani ya kampuni iitwayo VODACOM,Sasa nashangaa leo kuona Vodacom inaanza kutumiwa na CDM kuchangisha fedha za chama kwa ajili ya safari mikoa ya kusini!Naogopa kwa sababu nadhani isije ikawa unakataa kula kinyesi halafu unakula wadudu walao kinyesi.
machoko mko wengi tu, ila saa imeshafika ambapo hamtasalia hata mmoja.
Kila anachofanya adui yako utakitafutia sababu kionekane kinamatatizo.Mlianza na udini mkaja ukabila mkaja ukanda sasaivi mnakuja na song jipya la freemason.Mlisha chelewa