Mzee wa SUP
Member
- Mar 19, 2012
- 63
- 18
Habari mabwana wakubwa na wadogo,naamini wote wazima wa afya, mimi mzima huku nilipo hofu kwenu mulio mbali nami.
Lengo la barua/ujumbe huu ni kutaka kuwafahamisha kuhusu "infinite ban"!!
Sijui nimemfanya nini huyu Mod/s.Lakini mbona KONGOSHO alipigwa ban siku sifuri??iweje mimi?
Ndugu kongosho,ebu ni-pm unieleze jinsi ya ku-minimize/total distortion ya hii BAN.
Nawasalimu Invisible,paw,senetor,RR,kongosho,zitto,ben.....
Ni mimi mtiifu wenu ......
Lengo la barua/ujumbe huu ni kutaka kuwafahamisha kuhusu "infinite ban"!!
Sijui nimemfanya nini huyu Mod/s.Lakini mbona KONGOSHO alipigwa ban siku sifuri??iweje mimi?
Ndugu kongosho,ebu ni-pm unieleze jinsi ya ku-minimize/total distortion ya hii BAN.
Nawasalimu Invisible,paw,senetor,RR,kongosho,zitto,ben.....
Ni mimi mtiifu wenu ......