Ban maker, ban leader

@ Nicas Mtei na HYGEIA bado sijawa convinced na reasons zenu mkitetea mjadala huu uendelee...
Binafsi sababu yangu moja kubwa,ni hata hao ma mods kama walivyo binadamu wengine,wana UDHAIFU katika maamuzi sahihi ya kumlamba mtu BAN..

Mngesema mnajadili sheria ndogondogo na au miongozo ya JF,ambayo ikikiukwa kwa mujibu wa taratibu za JF,unapata ban ya ukubwa fulani.. Kidogo mngekuwa na mantiki...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom